• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Oliech kuandaa mechi kubwa ya kuwapa mashabiki fursa ya kumuaga rasmi kwenye ulingo wa usogora

Na CHRIS ADUNGO NYOTA wa zamani wa Harambee Stars, Dennis ‘The Menace’ Oliech, amefichua mipango ya kuandaa mechi ya kumuaga rasmi...

ODONGO: Ni haki Oliech kulipwa marupurupu kwa huduma zake Gor

NA CECIL ODONGO UTATA uliozingira kugoma kwa mshambulizi wa Gor Mahia Dennis ‘The Mennace’ Oliech ulizua mdahalo mkubwa wiki jana,...

Oliech ataambia watu nini?

Na GEOFFREY ANENE MIEZI miwili tu baada ya Dennis ‘The Menace’ Oliech kujiunga na Gor Mahia, mashabiki wanataka mabingwa hawa wa...

Kocha wa Zamalek aungama kulemewa kupiga Gor

NA CECIL ODONGO KOCHA Mkuu wa Zamalek SC Christian Gross amekiri kwamba walizidiwa mbinu na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu nchini(KPL)...

Waliosema Oliech amezeeka waombe radhi – Mashabiki

Na GEOFFREY ANENE MASHABIKI wa Gor Mahia wamewataka waliotilia shaka uwezo wa mshambuliaji Dennis “The Menace” Oliech kusakata soka...

Mashabiki wa Gor wampokea Oliech kwa shangwe

Na GEOFFREY ANENE Mfungaji bora wa timu ya taifa ya Kenya, Dennis Oliech alikaribishwa kwa shangwe na mashabiki katika mechi yake ya...

Oliech arejea KPL, Gor kumlipa Sh350,000 kwa mwezi

Na CECIL ODONGO STRAIKA wa zamani wa timu ya taifa Harambee Stars Dennis Oliech atakuwa mchezaji anayelipwa mshahara wa juu zaidi katika...