Tag: echesa
- by T L
- December 4th, 2021
Echesa aondolewa lawama katika sakata ya Sh39Bn ya silaha kwa DoD
Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA waziri wa michezo Rashid Echesa aliyeshtakiwa kwa sakata ya Sh39bilioni aliachiliwa huru Ijumaa baada ya...
Hatimaye Echesa atiwa nguvuni
Na SAMMY WAWERU HATIMAYE aliyekuwa Waziri wa Michezo Bw Rashid Echesa amekamatwa kwa kumzaba kofi afisa wa Tume Huru ya Uchaguzi na...
Echesa akamatwe – Mutyambai
NA LEONARD ONYANGO Inspekta Jenerali wa Polisi Hillary Mutyambai ameagiza waziri wa zamani wa Michezo Rashid Echesa akamatwe mara moja...
Malala na Echesa mafichoni wakisakwa na polisi kwa kuzua vurugu Matungu
Na SAMMY WAWERU SENETA wa Kakamega Bw Cleophas Malala na aliyekuwa Waziri wa Michezo, Bw Rashid Echesa wanasakwa na maafisa wa polisi...
Echesa akamatwe mara moja – Chebukati
MACHARIA MWANGI Na SAMMY WAWERU MWENYEKITI wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Bw Wafula Chebukati amekashifu vikali tukio ambapo...
Echesa anaswa akimzaba kofi afisa wa IEBC katika uchaguzi mdogo Matungu
Na SAMMY WAWERU ALIYEKUWA Waziri wa Michezo Rashid Eshesa amejipata pabaya baada ya kunaswa akimzaba kofi mmoja wa afisa wa Tume Huru ya...
- by adminleo
- June 18th, 2020
Echesa asirudishiwe silaha wala gari – DPP
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji alikata rufaa kupinga agizo polisi wamrudishie aliyekuwa waziri wa...
- by adminleo
- June 4th, 2020
Nashangazwa na Ruto kusalia kimya wandani wake wakizimwa – Echesa
NA IBRAHIM ORUKO SHOKA la chama tawala cha Jubilee bungeni limezua hisia kali katika wandani wa Naibu Rais William Ruto eneo la...
- by adminleo
- March 2nd, 2020
Echesa aendelea kuandamwa na madai ya uhalifu
Na MARY WAMBUI ALIYEKUWA Waziri wa Michezo Rashid Echesa, ameendelea kuandamwa na masaibu baada ya maafisa kutoka Idara ya Kuchunguza...
- by adminleo
- February 19th, 2020
Echesa achunguzwe alivyoingia kwa ofisi yangu – Ruto
Na BENSON MATHEKA Uchunguzi kuhusu kashfa ya utapeli inayodaiwa kuhusisha ofisi ya Naibu Rais William Ruto unapoendelea, maswali...
- by adminleo
- February 18th, 2020
Utapeli ofisi kuu
Na VALENTINE OBARA KASHFA ya utapeli inayogusa afisi ya Naibu Rais William Ruto, inaendeleza mtindo wa watu mashuhuri na ofisi kuu...
- by adminleo
- February 17th, 2020
Anayelengwa katika kesi ya Echesa ni Ruto, mawakili wadai
Na RICHARD MUNGUTI MAWAKILI wa aliyekuwa waziri wa michezo Rashid Echesa anayekabiliwa kashfa ya Sh40 bilioni ya ununuzi wa silaha za...