Tag: faida
- by adminleo
- March 23rd, 2019
Manufaa ya kuendesha baiskeli
Na GEOFFREY ANENE HUKU makundi mengi ya uendeshaji baiskeli jijini Nairobi yakiwemo Kenya Cycling na Wheels of Africa yakizidi kuhamasisha...
- by adminleo
- March 21st, 2019
Co-op yazoa faida ya Sh12.7 bilioni
Na BERNARDINE MUTANU Benki ya Co-operative imetangaza ongezeko la asilimia 11.6 la faida baada ya kutozwa ushuru hadi Sh12.7 bilioni kwa...
- by adminleo
- March 21st, 2019
Benki ya Diamond yavuna faida ya Sh11 bilioni
Na BERNARDINE MUTANU BENKI ya Diamond Trust imetangaza ongezeko la asilimia tisa la faida kabla ya kutozwa ushuru. Katika mwaka...
- by adminleo
- August 16th, 2018
Benki ya Equity pia yapata faida
Na BERNARDINE MUTANU Benki ya Equity imetangaza faida ya asilimia 18 baada ya kutozwa ushuru kwa miezi sita ya mwanzo 2018. Benki hiyo...
- by adminleo
- August 16th, 2018
KCB yazoa faida ya Sh12 bilioni kwa miezi 6
Na BERNARDINE MUTANU Benki ya Kenya Commercial imetangaza ongezeko la faida la asilimia 18 baada ya ushuru katika miezi ya mwanzo ya...
- by adminleo
- May 9th, 2018
Mbinu ilizotumia Safaricom kuzoa faida ya Sh55 bilioni licha ya wimbi la #Resist
Na CHARLES WASONGA KAMPUNI ya mawasiliano ya Safaricom ilipata faida ya Sh55.29 bilioni, baada ya kutozwa ushuru, katika mwaka wa...
- by adminleo
- April 8th, 2018
Mazingira ya biashara Kenya yainufaisha Huawei
Na BERNARDINE MUTANU Kampuni ya Huawei Technologies imepata faida kubwa baada ya kutoa matokeo yake ya kifedha, na kuonyesha kuwa kampuni...
- by adminleo
- March 28th, 2018
I&M pia yapungukiwa na faida
Na BERNARDINE MUTANU BENKI ya I&M imepata upungufu wa mapato yake baada ya kutozwa ushuru kwa asilimia sita, katika mwaka uliokamilika...
- by adminleo
- March 20th, 2018
Hali ngumu ya uchumi yapunguza faida ya benki ya Co-operative
Na BERNARDINE MUTANU Benki ya Co-operative imeandikisha kupungukiwa kwa faida baada ya mapato yake kutozwa ushuru kwa mwaka wa...
- by adminleo
- March 2nd, 2018
Faida ya Kenya Power yashuka
Na BERNARDINE MUTANU FAIDA ya kampuni ya Umeme nchini (Kenya Power) imeshuka kwa asilimia 30.3. Hii ni baada ya kupata mapato baada ya...