Tag: gesi
- by adminleo
- September 22nd, 2019
Sheria mpya ya gesi kisiki kwa wafanyabiashara
Na LAWRENCE ONGARO SHERIA mpya ya uuzaji wa mafuta na gesi imelazimisha wafanyibiashara wengi kufunga biashara zao Murang'a. Mamlaka...
- by adminleo
- June 11th, 2019
Ubadilishaji wa mitungi ya gesi wapigwa marufuku
NA ANITA CHEPKOECH SERIKALI imepiga marufuku vituo vya gesi kujaza mitungi ya kampuni zingine. Hii inamaanisha kuwa Wakenya...
- by adminleo
- March 22nd, 2019
Serikali yaanza kusaka mafuta na gesi Kajiado
Na BERNARDINE MUTANU Serikali imeanza shughuli ya kutafuta mafuta na gesi Kajiado. Hii ni kutokana na kuwa kumekuwa na dalili za kuwepo...
- by adminleo
- March 18th, 2019
Gesi yakosekana Lamu
NA KALUME KAZUNGU SHUGHULI ya kuchimba gesi ambayo imekuwa ikiendelea kwa muda wa mwaka mmoja uliopita katika kisiwa cha Pate, Kaunti ya...
- by adminleo
- February 4th, 2019
Moto wa karatasi wateketeza kiwanda cha gesi
NA LAWRENCE ONGARO WAWEKEZAJI wa kiwanda kimoja mjini Thika wanakadiria hasara baada ya mali yao kuchomeka kutokana na moto wa...
- by adminleo
- November 22nd, 2018
Bei ya gesi yazidi kupaa
Na BERNARDINE MUTANU Bei ya gesi ya kupika inaendelea kupanda licha ya serikali kuondoa ushuru kwa bidhaa hiyo. Kwa miezi 27...
- by adminleo
- October 31st, 2018
Yathibitishwa gesi iliyopatikana Nyeri ni CO2
Na BERNARDINE MUTANU Gesi iliyopatikana wakati wa kuchimba kisima Nyeri ilikuwa dioksidi ya kaboni (CO2)kulingana na uchunguzi uliofanywa...
- by adminleo
- April 8th, 2018
Etihad yajizatiti kupunguza hewa chafu
Na BERNARDINE MUTANU Shirika la Ndege la Etihad lilifanikiwa kudhibiti tani 195,000 za hewa chafu mwaka wa 2017. Hii ni baada ya kuzindua...
- by adminleo
- April 5th, 2018
Kiwanda kipya cha gesi kujengwa Murang’a
Na BERNARDINE MUTANU Mwekezaji mmoja analenga kujenga kiwanda cha kutengeza mitungi ya gesi katika Kaunti ya Murang’a. Kampuni hiyo...