• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 6:50 AM

ODM kutolewa pumzi ishara ya kufifia kwa ‘Baba’

CHARLES WASONGA na BENSON MATHEKA LICHA ya kujipiga kifua na kujigamba kuwa ingetwaa ushindi mkubwa katika uchaguzi mdogo wa maeneobunge...

Embakasi na Ugenya tayari kuchagua Wabunge wapya

NA CECIL ODONGO WAPIGAKURA katika maeneobunge ya Embakasi Kusini na Ugenya Ijumaa wanatarajiwa kumiminika katika vituo mbalimbali vya...

Uchaguzi: ODM na Wiper tayari kumenyana Embakasi

RUSHDIE OUDIA na WANDERI KAMAU WAPIGAKURA katika maeneobunge ya Embakasi Kusini na Ugenya watawachagua wabunge wapya Ijumaa kwenye...

FORD-K, ANC na Wiper waungana dhidi ya ODM

Na BENSON MATHEKA VYAMA vitatu tanzu vya muungano wa NASA - Wiper, Ford Kenya na Amani National Congress (ANC) - vimeungana dhidi ya...

Kalonzo ni msaliti, mkabila, mwoga na adui wa handisheki – ODM

NA CECIL ODONGO VIONGOZI wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM) wamemtaja kinara wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka kama kiongozi...

Tutaonyesha Raila kivumbi Embakasi – Wiper

WYCLIFFE MUIA na KITAVI MUTUA KINARA wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka ameapa kumuonyesha kivumbi Raila Odinga katika uchaguzi mdogo wa...

Moses Kuria aongoza wabunge wa Jubilee kuunga mkono Mawathe

Na BENSON MATHEKA WABUNGE kadhaa wa chama cha Jubilee wametangaza kuwa watamuunga mgombeaji wa chama cha Wiper Julius Mawathe kwenye...