• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 5:10 PM

Presha Raila amlipe Ruto deni la kisiasa

TOM MATOKE Na ONYANGO K’ONYANGO WASHIRIKA wa Naibu Rais William Ruto katika Rift Valley jana walimtumia Raila Odinga Jr kumtaka...

Pambano kali kushuhudiwa Kiambu Ruto akikabili Uhuru

Na WANDERI KAMAU NAIBU Rais William Ruto sasa atakabana koo moja kwa moja na Rais Uhuru Kenyatta kwenye uchaguzi mdogo wa eneobunge la...

Ruto aonywa asifurahie masaibu ya Rais Uhuru

Na WAANDISHI WETU Naibu Rais William Ruto na washirika wake wa kisiasa wanaendelea kusherehekea masaibu ya mkubwa wake Rais Uhuru...

Kuzimwa kwa Reggae pigo kwa Ruto licha ya kusherehekea

Na LEONARD ONYANGO HATUA ya Mahakama Kuu kutupilia mbali Mswada wa Mpango wa Maridhiano (BBI) ni pigo kwa Naibu wa Rais William Ruto...

Kilio Taveta usimamizi wa shamba la Ruto ukikausha Ziwa Jipe

Na LUCY MKANYIKA WAKULIMA katika eneo la Taveta, Kaunti ya Taifa Taveta, wamelalamikia athari ambazo zimeanza kuonekana kutokana na...

Ruto alenga waasi wa Odinga Luo Nyanza

Na CECIL ODONGO NAIBU Rais Dkt William Ruto amerusha chambo chake katika ngome ya Kinara wa ODM Raila Odinga ya Luo Nyanza, baada ya...

CECIL ODONGO: Wandani wa Ruto Mlima Kenya wamemgeuka?

Na CECIL ODONGO HUENDA sasa ni dhahiri kwamba Naibu Rais Dkt William Ruto hana hakika ya kuungwa mkono na wanasiasa wa Mlima Kenya, hasa...

Viongozi Pwani watafutia Ruto mgombea mwenza

Na ANTHONY KITIMO WAFUASI wa Naibu Rais William Ruto katika ukanda wa Pwani, wameanzisha mipango ya kumtafuta kiongozi wa eneo hilo...

KONDOO WA RUTO MATAANI

Na CHARLES WASONGA Wanachama wa vuguvugu la Tangatanga wanajitokeza kama kondoo wasio na mchungaji baada ya Naibu Rais William Ruto...

Naibu Rais alenga kuwarai mabwanyenye wa Mzee Moi wamuunge mkono

Na ONYANGO K’ONYANGO NAIBU Rais Dkt William Ruto sasa analenga kuwarai mabwanyenye na wandani wa aliyekuwa Rais, marehemu Daniel Arap...

CECIL ODONGO: Mbinu anazoweza kutumia Ruto ili kutwaa urais 2022

Na CECIL ODONGO NAIBU Rais Dkt William Ruto anafaa kujihusisha sana na kuvumisha umaarufu wake kupitia chama kipya cha UDA badala...

ODM yakana Oparanya aelekea kwa Ruto

Na BENSON MATHEKA CHAMA cha ODM, kimekanusha ripoti kwamba naibu kiongozi wake, Bw Wycliffe Ambetsa Oparanya amekisaliti na anapanga...