• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Afisa adai aliadhibiwa kwa kutopelekea Ruto umati

Na BRIAN OCHARO MSIMAMIZI wa wadi katika Kaunti ya Mombasa, Bw Fredrick Otieno, ameambia mahakama anaadhibiwa kwa kukosa kuandaa mkutano...

Nikipata fursa kuwa Rais sitamhangaisha naibu wangu – Ruto

Na SAMMY WAWERU NAIBU wa Rais Dkt William Ruto amekiri uhusiano wake na Rais Uhuru Kenyatta una doa kwenye mahojiano na runinga moja...

Njama mpya yachorwa kutimua Ruto Mlima Kenya

Na MWANGI MUIRURI WANASIASA wa mrengo wa Rais Uhuru Kenyatta eneo la Mlima Kenya wamezindua njama mpya ya kumkata mbawa Naibu Rais...

CECIL ODONGO: Muungano wa Raila, Ruto utamtakasa Naibu wa Rais

Na CECIL ODONGO HUKU madai yakiendelea kushika kasi kuhusu muungano unaonukia kati ya Naibu Rais Dkt William Ruto na Kinara wa ODM Raila...

MUUNGANO WA RAILA, RUTO WAINGIA DOA

JUSTICE OCHIENG’ na ONYANGO K’ONYANGO WAFUASI wa Naibu Rais Dkt William Ruto na wale wa Kinara wa ODM Raila Odinga wamegawanyika...

Raila amtumia Ruto ujumbe wa muungano

PATRICK LANG'AT na JUSTUS OCHIENG' DALILI zimeibuka kwamba muungano kati ya Naibu Rais William Ruto na Kinara wa ODM Raila Odinga...

Jeshi la Ruto lapasuka ngome ya Raila

Na RUSHDIE OUDIA MZOZO mkali umeibuka kati ya makundi yanayompigia debe Naibu Rais William Ruto katika ngome za kisiasa za Kiongozi wa...

Mreno aliyetuma droni kwa makazi ya Ruto ashtakiwa

Na MWANGI MUIRURI Mtalii aliyekamatwa Machi 29 kwa madai ya kutuma droni ya ujasusi hadi katika makao rasmi ya Naibu wa Rais Dkt William...

Droni ya jirani yamtia hofu mke wa Ruto

Na MARY WAMBUI POLISI Jumanne walimhoji raia wa Uingereza ambaye mtambo wake wa kupiga picha angani (droni) ulipaa katika eneo la nyumba...

Hatimaye Ruto apokea chanjo ya corona

Na SAMMY WAWERU NAIBU wa Rais Dkt William Ruto na mke wake, Mama Rachael Ruto Jumanne walijiunga na orodha ya viongozi wakuu serikalini...

Uhuru asukuma Ruto, Raila kona moja

WANDERI KAMAU na BENSON MATHEKA HATUA ya Rais Uhuru Kenyatta kuonekana kupendelea muungano mpya wa 'One Kenya Alliance' imewasukuma...

Didmus Barasa asema amegura siasa za wilbaro kuunganisha Waluhya

Na CHARLES WASONGA na SAMMY WAWERU MBUNGE wa Kimilili Didmus Barasa ambaye ni mwandani wa Naibu Rais William Ruto ametangaza kuwa...