Kindiki aamuru daktari gaidi atumikie kifungo cha miaka 12 kwa kupanga kuangamiza Wakenya
NA RICHARD MUNGUTI WAZIRI wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki amekataa jaribio la kupunguza kifungo cha miaka 12 dhidi ya gaidi aliyepanga kuangamiza Wakenya akitumia sumu ya kemikali ya virusi vya ugonjwa wa kimeta (Anthrax). Prof Kindiki aliamuru Dkt Mohamed Abdi Ali aliyefungwa na hakimu mkuu Martha Mutuku atumike kifungo chote. Waziri huyo alikataa kutumia […]