Shule kufunguliwa Jumatatu kuanza muhula wa pili
NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto ametangaza Jumatano kuwa shule zote nchini zitafunguliwa rasmi Jumatatu, Mei 13, 2024, kuanza kwa masomo ya muhula wa pili. Akiongea alipokutana na ujumbe wa viongozi kutoka maeneobunge ya Laikipia Kaskazini na Kajiado ya Kati, Dkt Ruto alisema kuwa hatua hiyo inatokana na ushauri kutoka kwa Idara ya Utabiri wa […]