Tag: aunty polly
- by adminleo
- July 23rd, 2019
AUNTY POLLY…: Anihonga nifungue kisima, nifanyeje?
Na PAULINE ONGAJI KATIKA fleti ninamoishi kuna kijana fulani wa kiume ambaye amekuwa akinifuata kwa miezi kadha sasa huku akitaka niwe...
- by adminleo
- July 16th, 2019
AUNTY POLLY: Nitajuaje taaluma itakayonifaa?
Na PAULINE ONGAJI NATARAJIWA kukamilisha elimu ya shule ya upili mwaka huu 2019, suala ambalo limekuwa likinikosesha usingizi, hasa...
- by adminleo
- July 9th, 2019
AUNTY POLLY: Nitajuaje ikiwa ana maradhi ya zinaa?
Na PAULINE ONGAJI MIMI ni mwanafunzi wa kike ambaye yuko katika chuo kikuu. Nina mpenzi niliyekutana naye chuoni miezi kadha iliyopita....
- by adminleo
- July 2nd, 2019
AUNTY POLLY: Niko kidato cha tatu na sijapata hedhi
Na PAULINE ONGAJI NIKO katika kidato cha tatu na sijaanza kupata hedhi ilhali wenzangu wananiambia kwamba wao walianza wakiwa katika...
- by adminleo
- June 25th, 2019
AUNTY POLLY: Yawezekana nina ugonjwa wa zinaa?
Na PAULINE ONGAJI HUYU wa mwanzo leo anauliza hivi: Nina umri wa miaka 22 na kwa miezi miwili sasa nimekuwa na mpenzi ambapo tayari...
- by adminleo
- June 11th, 2019
AUNTY POLLY: Uzani kupitiliza wanitia kiwewe
Na PAULINE ONGAJI KWA miezi sasa nimegundua kwamba nimekuwa nikiongeza uzani, suala ambalo linazidi kuathiri umbo langu la kupendeza na...
- by adminleo
- June 4th, 2019
AUNTY POLLY: Ninawashwa baada ya kunyoa sehemu nyeti
Na PAULINE ONGAJI MIMI ni mvulana mwenye umri wa miaka 16. Kwa miaka michache sasa nimeshuhudia nywele za sehemu zangu za nyeti zikiota....
- by adminleo
- May 28th, 2019
AUNTY POLLY…: Wananishinikiza nitumie mihadarati
Na PAULINE ONGAJI MWANZONI mwa mwaka nilipojiunga na shule ya upili nilibahatika kukutana na marafiki upesi. Nimegundua kuwa wachache...
- by adminleo
- May 21st, 2019
AUNTY POLLY…: Rafiki yangu ana matatizo ya kula
Na PAULINE ONGAJI NIKO katika kidato cha tatu katika shule moja jijini Nairobi. Nina rafiki yangu ambaye nimegundua kwamba ana matatizo ya...
- by adminleo
- May 14th, 2019
AUNTY POLLY…: Nina hofu kujiunga na Chuo Kikuu
Na PAULINE ONGAJI MWAKA 2020 natarajiwa kujiunga na chuo kikuu. Hata hivyo mimi ni mwoga sana na nimeanza kuingiwa na hofu ya kukutana na...
- by adminleo
- April 23rd, 2019
AUNTY POLLY: Ana mimba na siko tayari kuitwa ‘baba’
Na PAULINE ONGAJI NINA mpenzi wangu ambaye ameniambia kuwa ana mimba. Ninaashuku sana iwapo mimba hii ni yangu kwani awali alikuwa...
- by adminleo
- April 16th, 2019
AUNTY POLLY: Fafanua, hedhi huwa nyekundu kila mara
Na PAULINE ONGAJI MARA kwa mara hasa siku kadha baada ya hedhi yangu kuanza, rangi hubadilika na kuwa nyekundu hafifu. Ningependa kujua...