Tag: aunty polly
- by adminleo
- April 9th, 2019
AUNTY POLLY: Chunusi hazikomi kunitokea usoni…
Na PAULINE ONGAJI KWA wiki kadha sasa nimekuwa nikikumbwa na chunusi katika uso wangu kiasi cha kunifanya nikose starehe. Naomba ushauri...
- by adminleo
- April 2nd, 2019
AUNTY POLLY: Nakwepa mitandao ya kijamii kama Ukoma
Na PAULINE ONGAJI KWA wiki mbili sasa nimeepuka mitandao ya kijamii kutokana na matusi ambayo nimekuwa nikipokea. Kinachoshangaza hata...
- by adminleo
- March 26th, 2019
AUNTY POLLY: Nitajuaje hana ugonjwa wa zinaa?
Na PAULINE ONGAJI NINA mpenzi niliyekutana naye miezi kadha iliyopita. Amenizidi umri na ana tajriba ya masuala ya mahaba kwani yeye...
- by adminleo
- March 19th, 2019
AUNTY POLLY…: Yawezekana kushika mimba na umejikinga?
Na PAULINE ONGAJI RAFIKI yangu ana mimba licha ya kutumia mbinu za kupanga uzazi. Inawezekana kushika mimba hata iwapo unatumia mbinu za...
- by adminleo
- March 12th, 2019
AUNTY POLLY: Mama anibebesha mzigo wake, nisaidie
Na PAULINE ONGAJI KWA miaka sasa nimekuwa nahisi kana kwamba mama yangu amenitwika majukumu yake kama mzazi. Kila siku baada ya kurejea...
- by adminleo
- March 5th, 2019
AUNTY POLLY…: Mbona navamiwa na chunusi usoni?
Na PAULINE ONGAJI KWA miezi kadha sasa uso wangu umekuwa ukifunikwa na chunusi kiasi cha kuvutia macho ya watu kila ninapotembea, suala...
- by adminleo
- February 26th, 2019
AUNTY POLLY: Mimi na mamangu hatupatani, nisaidie
Na PAULINE ONGAJI UHUSIANO kati yangu na mamangu umekuwa ukididimia kila kuchao. Kwa muda sasa umekuwa ukizidi kuwa mbaya na chochote...