• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM

Mbunge wa Mavoko asikitika mahakama kuzima CDF

NA SAMMY KIMATU MBUNGE wa Mavoko, Bw Patrick Makau amesikitika kwamba Mahakama ya Juu ilitoa uamuzi wa kuzima Hazina ya Maendeleo ya...

Wabunge wataka CDF iongezwe kujenga madarasa

Na MACHARIA MWANGI WABUNGE wameshinikiza serikali iongeze mgao wa fedha za Hazina ya Kitaifa ya Ustawishaji Maeneobunge (NG-CDF)...

Mbunge wa Lari na maafisa wa CDF wakamatwa

Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Lari Jonah Mburu Mwangi amekamatwa Ijumaa pamoja na maafisa wanne wa Hazina ya Ustawi wa Eneo Bunge hili...

Ripoti yafichua pesa za CDF zinavyofujwa

Na SAMWEL OWINO FEDHA za Hazina ya Ustawi wa Maeneo Bunge (NG-CDF) bado zinaendelea kutumiwa vibaya, ripoti ya ukaguzi wa matumizi ya...

Rotich aitwa bungeni kueleza kiini cha fedha za CDF kuchelewa

CHARLES WASONGA na GEORGE MUNENE WAZIRI wa Fedha Henry Rotich ametakiwa kufika mbele ya wabunge wiki hii kuelezea sababu za...

Maafisa wa CDF wajuta kumeza hongo

Na TITUS OMINDE MAHAKAMA moja mjini Eldoret inatarajiwa kuhukumu maafisa wawili wa hazina ya maendeleo katika eneobunge la Likuyani,...

Ndani miaka 25 kwa kufuja pesa za CDF

Na GERALD BWISA MAHAKAMA moja ya Kitale Jumanne iliwahukumu wanachama wawili wa iliyokuwa kamati ya usimamizi wa fedha za Hazina ya CDF...