• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Mchina ndani kwa kuuza vifaa feki vya corona

Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI Mkuu wa kampuni moja ya Uchina alishtakiwa Jumatatu kwa kuuza bidhaa feki za kupima ugonjwa wa...

Corona haitambui mamlaka, waliokuwa Ikulu kupimwa

Na VALENTINE OBARA UKWELI kuwa virusi vya corona havitambui mamlaka wala tabaka ulidhihirika Jumatatu baada ya kuthibitishwa kuwa...

Corona imesaidia kukabiliana na magonjwa mengine – Serikali

Na SAMMY WAWERU Visa vya magonjwa ya kuendesha nchini vimepungua kwa kiwango kikuu, imesema Wizara ya Afya. Waziri wa Afya Mutahi...

Covid-19: 133 zaidi waambukizwa

Na CHARLES WASONGA KENYA imeandikisha visa 133 vya Covid-19 Jumatatu hivyo kufikisha 3,727 idadi jumla ya maambukizi ya ugonjwa huo...

Corona yaingia Ikulu

Na CHARLES WASONGA WAFANYAKAZI wanne wa Ikulu ya Nairobi wamethibitishwa kuwa na virusi vya corona Jumatatu alasiri. Kwenye taarifa...

14 waliotangamana na aliyeugua corona watupwa kwa karantini

NA ELIZABETH OJINA WATU wasiopungua 14 waliotangamana na mgonjwa wa corona kaunti ya Nyamira Jumapili wametafutwa na kuwekwa...

Rais na familia yake hawana corona – Kanze Dena

NA JOHN MUTUA Maafisa wanne wa Ikulu wamepatikana na virusi vya corona. Msemaji wa Ikulu Kanze Dena alisema kwamba majina ya wanne hao...

Dereva wa Kenya afariki mpakani Uganda akisubiri ukaguzi

NA DAILY MONITOR Polisi na maafisa wa afya nchini Uganda Wilaya ya Busia wanafanya uchunguzi kuhusiana na kifo cha dereva wa lori wa...

Gavana akana madai hospitali haina vifaa vya kuthibiti corona

NA WAWERU WAIRIMU Gavana wa Kaunti ya Isiolo Mohamed Kuti amewalaumu  maadui wake wa kisiasa kwa kueneza uvumi kwamba chumba cha watu...

Mahabusu apatikana na corona jela la Manyani

NA LUCY MKANYIKA Mfungwa mmoja ametengwa katika kituo cha afya cha Rekeke katika Kaunti ya Taita Taveta baada ya kupatikana na virusi...

Waombolezaji 25 kutoka Mombasa wazuiliwa Siaya

NA DICKENS WESONGA Waombolezaji 25 waliosafiri kutoka Mombasa hadi Siaya kuhudhuria mazishi walizuiliwa na kutengwa Ijumaa. Mkuu wa...

Mwongozo wa kuhudumia wagonjwa wa corona nyumbani

NA SARAH NANJALA Wiki hii serikali ilitangaza kwamba wagonjwa wenye dalili chache ama hawana dalili zozote za corona wataruhusiwa...