Tag: Corona
- by adminleo
- June 16th, 2020
Mchina ndani kwa kuuza vifaa feki vya corona
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI Mkuu wa kampuni moja ya Uchina alishtakiwa Jumatatu kwa kuuza bidhaa feki za kupima ugonjwa wa...
- by adminleo
- June 16th, 2020
Corona haitambui mamlaka, waliokuwa Ikulu kupimwa
Na VALENTINE OBARA UKWELI kuwa virusi vya corona havitambui mamlaka wala tabaka ulidhihirika Jumatatu baada ya kuthibitishwa kuwa...
- by adminleo
- June 15th, 2020
Corona imesaidia kukabiliana na magonjwa mengine – Serikali
Na SAMMY WAWERU Visa vya magonjwa ya kuendesha nchini vimepungua kwa kiwango kikuu, imesema Wizara ya Afya. Waziri wa Afya Mutahi...
- by adminleo
- June 15th, 2020
Covid-19: 133 zaidi waambukizwa
Na CHARLES WASONGA KENYA imeandikisha visa 133 vya Covid-19 Jumatatu hivyo kufikisha 3,727 idadi jumla ya maambukizi ya ugonjwa huo...
- by adminleo
- June 15th, 2020
Corona yaingia Ikulu
Na CHARLES WASONGA WAFANYAKAZI wanne wa Ikulu ya Nairobi wamethibitishwa kuwa na virusi vya corona Jumatatu alasiri. Kwenye taarifa...
- by adminleo
- June 15th, 2020
14 waliotangamana na aliyeugua corona watupwa kwa karantini
NA ELIZABETH OJINA WATU wasiopungua 14 waliotangamana na mgonjwa wa corona kaunti ya Nyamira Jumapili wametafutwa na kuwekwa...
- by adminleo
- June 15th, 2020
Rais na familia yake hawana corona – Kanze Dena
NA JOHN MUTUA Maafisa wanne wa Ikulu wamepatikana na virusi vya corona. Msemaji wa Ikulu Kanze Dena alisema kwamba majina ya wanne hao...
- by adminleo
- June 15th, 2020
Dereva wa Kenya afariki mpakani Uganda akisubiri ukaguzi
NA DAILY MONITOR Polisi na maafisa wa afya nchini Uganda Wilaya ya Busia wanafanya uchunguzi kuhusiana na kifo cha dereva wa lori wa...
- by adminleo
- June 14th, 2020
Gavana akana madai hospitali haina vifaa vya kuthibiti corona
NA WAWERU WAIRIMU Gavana wa Kaunti ya Isiolo Mohamed Kuti amewalaumu maadui wake wa kisiasa kwa kueneza uvumi kwamba chumba cha watu...
- by adminleo
- June 14th, 2020
Mahabusu apatikana na corona jela la Manyani
NA LUCY MKANYIKA Mfungwa mmoja ametengwa katika kituo cha afya cha Rekeke katika Kaunti ya Taita Taveta baada ya kupatikana na virusi...
- by adminleo
- June 13th, 2020
Waombolezaji 25 kutoka Mombasa wazuiliwa Siaya
NA DICKENS WESONGA Waombolezaji 25 waliosafiri kutoka Mombasa hadi Siaya kuhudhuria mazishi walizuiliwa na kutengwa Ijumaa. Mkuu wa...
- by adminleo
- June 12th, 2020
Mwongozo wa kuhudumia wagonjwa wa corona nyumbani
NA SARAH NANJALA Wiki hii serikali ilitangaza kwamba wagonjwa wenye dalili chache ama hawana dalili zozote za corona wataruhusiwa...