Tag: jkia
- by adminleo
- February 15th, 2019
Wabunge waikataza KQ kusimamia JKIA
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wamepinga mpango unaopendekezwa wa kuwezesha Shirika la Ndege Nchini (Kenya Airways-KQ) kutwaa usimamizi wa...
- by adminleo
- February 14th, 2019
Mfumo wa kidijitali wa maegesho JKIA wasimamishwa
Na BERNARDINE MUTANU Bodi ya Kusimamia Tathmini ya Uagizaji kwa Umma (PPARB) imesimamisha Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (KAA) kusakini,...
- by adminleo
- May 21st, 2018
Raila alifika JKIA akiwa mlevi chakari – Miguna Miguna
Na CHARLES WASONGA MWANAHARAKATI wa upinzani Miguna Miguna ameanzisha vita vya maneno dhidi ya mlezi wake kisiasa Raila Odinga, kwa...
- by adminleo
- May 16th, 2018
MIGUNA MIGUNA: Ajipiga kifua kisha kukunja mkia na kusalia Canada
Na WYCLIFFE MUIA MWANASIASA na wakili mbishi aliyefurushwa nchini, Dkt Miguna Miguna alikunja mkia kuhusu kurejea Kenya Jumatano licha...
- by adminleo
- April 3rd, 2018
Serikali haikupewa agizo na korti yoyote, Miguna hakufurushwa – Matiang’i
JOHN NGIRACHU na ELVIS ONDIEKI WAZIRI wa Usalama Dkt Fred Matiang'i Jumanne ametetea vikali serikali kuhusu jinsi ilishughulikia kesi ya...
- by adminleo
- April 1st, 2018
TAHARIRI: Ukatili wa polisi dhidi ya waandishi ulikiuka haki
Na MHARIRI UKATILI uliotekelezwa na maafisa wa polisi dhidi ya wanahabari katika Uwanja wa Ndege wa JKIAmnamo Jumatatu wakati wa kurejea...
- by adminleo
- April 1st, 2018
KINAYA: Jenerali Miguna, japo mkali kama chui bado binadamu, baba ya mtu
Na DOUGLAS MUTUA MOJAWAPO ya picha alizopigwa ‘Jenerali’ Miguna Miguna akiwa korokoroni juzi imenipa mtihani wa...
- by adminleo
- March 29th, 2018
Ni kama drama! Miguna akumbana na masaibu zaidi wakati wa Pasaka
Na BENSON MATHEKA SAKATA ya wakili Miguna Miguna imegeuka kuwa mchezo wa sarakasi ila mchezo wenyewe unahusu masuala mazito ya haki za...
- by adminleo
- March 29th, 2018
MCK yataka visa vya wanahabari kuvamiwa vichunguzwe
Na BENSON MATHEKA OFISI ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) inafaa kuchunguza visa vya kushambulia wanahabari wakiwa kazini na...
- by adminleo
- March 29th, 2018
Harambee Stars yarejea nchini baada ya matokeo ya kukera
Na GEOFFREY ANENE HARAMBEE Stars imerejea nchini Alhamisi kutoka Morocco ambako ilisikitisha baada ya kumaliza mechi mbili za kirafiki...
- by adminleo
- March 29th, 2018
TAHARIRI: Polisi waheshimu amri za mahakama
Na MHARIRI Hatua ya Serikali kuendelea kumzuilia wakili na mwanasiasa Miguna Miguna katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Jomo...
- by adminleo
- March 28th, 2018
Kimya cha Raila kuhusu Miguna chashangaza wengi
Na BENSON MATHEKA KINARA wa NASA, Raila Odinga ameshangaza wengi kwa kimya chake kuhusu masaibu ya wakili Miguna Miguna, ambaye...