Tag: MISRI
Harambee Stars ilipiga Misri mara ya mwisho miaka 44 iliyopita
Na GEOFFREY ANENE MBIVU na mbichi kuhusu Harambee Stars na Pharaohs itajulikana wakati Kenya na Misri zitaumiza nyasi ugani Kasarani...
- by adminleo
- July 25th, 2019
Kenya yateremka kwenye uorodheshaji wa Fifa
Na GEOFFREY ANENE na CHRIS ADUNGO TIMU ya taifa ya Kenya almaarufu Harambee Stars imeteremka nafasi mbili hadi nambari 107 katika...
- by adminleo
- June 28th, 2019
AFCON 2019: Nigeria na Misri zafuzu mapema
Na MASHIRIKA CAIRO, Misri NIGERIA na wenyeji Misri zilikuwa timu za kwanza kufuzu kwa hatua ya 16 Bora ya AFCON baada ya kuandikisha...
- by adminleo
- June 21st, 2019
AFCON 2019: Zifa yatangaza kikosi cha Zimbabwe licha ya wachezaji kutishia kugoma
Na GEOFFREY ANENE SAA chache kabla ya Kombe la Afrika (AFCON) kung’oa nanga nchini Misri hapo Juni 21, masuala ya migomo ya wachezaji...
- by adminleo
- July 30th, 2018
Misri kunyonga watu 75 waliohusika kwa machafuko 2013
Na MASHIRIKA Mahakama ya Misri mnamo Jumamosi iliwahukumu watu 75 kunyongwa, wakiwemo viongozi wa kundi la Muslim Brotherhood. Hukumu...
- by adminleo
- May 28th, 2018
Salah kuongoza mashambulizi ya Misri Kombe la Dunia licha ya kujeruhiwa na Ramos
Na MASHIRIKA STRAIKA matata wa Liverpool na Misri Mohamed Salah jana aliwaondolea mashabiki wake hofu kuwa huenda jeraha alilopata katika...
- by adminleo
- April 11th, 2018
Watu 36 kunyongwa kwa kuvamia makanisa ya Coptic
Na MASHIRIKA CAIRO, MISRI MAHAKAMA ya jeshi imewahukumu watu 36 kunyongwa kwa kuhusika katika mashambulizji dhidi ya makanisa ya Kikristo...
- by adminleo
- March 28th, 2018
Matokeo mseto kwa klabu za Kenya voliboli Misri
Na GEOFFREY ANENE KLABU za Kenya zimeanza mashindano ya voliboli ya Klabu Bingwa Afrika ya wanaume na matokeo mseto jijini Cairo, Misri,...
- by adminleo
- March 26th, 2018
GSU ya Kenya yapata kundi rahisi kwenye droo ya voliboli Cairo
Na GEOFFREY ANENE DROO ya mashindano ya voliboli ya wanaume ya Klabu Bingwa Afrika imefanywa jijini Cairo, Misri, Jumatatu, huku General...
- by adminleo
- March 21st, 2018
Wapigakura Misri watishia kususia uchaguzi
Na MASHIRIKA BAADHI ya wapigakura nchini wametishia kususia uchaguzi utakaofanyika wiki ijayo huku aliyekuwa msemaji wa kiongozi wa...
- by adminleo
- March 16th, 2018
Mchuano wa Kenya dhidi ya Misri U-20 wafutwa
Na GEOFFREY ANENE MECHI za kirafiki kati ya timu ya soka ya Kenya na Misri ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 20 ya wanaume,...
- by adminleo
- February 26th, 2018
Kenya U-20 kujipima nguvu na TZ na Misri kabla ya kuvaana na Rwanda
Na GEOFFREY ANENE KENYA na Rwanda zitapigania tiketi moja ya kushiriki mechi za raundi ya pili ya kufuzu kushiriki Kombe la Afrika la soka...