Tag: NASA
- by adminleo
- August 9th, 2020
Vigogo wa Nasa wapigana makumbo wakijipendekeza kwa Uhuru
Na BENSON MATHEKA Rais Uhuru Kenyatta anatabasamu huku viongozi wa vyama vya kisiasa wanaopaswa kuwa wakimulika serikali yake katika...
- by adminleo
- May 28th, 2020
Hatima ya Jumwa, Wamalwa yaamuliwa
Na WAANDISHI WETU MRENGO wa upinzani Nasa umeidhinisha kutimuliwa kwa wabunge wake waasi kutoka nyadhifa za uongozi katika bunge la...
- by adminleo
- May 22nd, 2020
Nasa haiwezi kujiunga na Jubilee kwa sasa – Mudavadi
Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi amepuuza uwezekano wa vyama tanzu vya muungano wa...
- by adminleo
- December 8th, 2019
JAMVI: Hakuna dalili za NASA kujifufua tena kwa ajili ya 2022
Na BENSON MATHEKA Hakuna dalili zozote za muungano wa NASA kufufuka huku tofauti za vinara wake wanne zikipanuka kila siku uchaguzi mkuu...
- by adminleo
- November 16th, 2018
NASA ILIVYONASWA
BENSON MATHEKA Na MWANGI MUIRURI SERIKALI ya Jubilee ilitumia mbinu ya kugawanya na kutoa ahadi katika juhudi zake za kunasa waliokuwa...
- by adminleo
- August 1st, 2018
Mwana mpotevu atarudi nyumbani?
Na BENSON MATHEKA Kiongozi wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka, Jumanne alikutana na kinara mwenza wa NASA, Moses Wetangula, katika...
- by adminleo
- March 27th, 2018
Muungano mpya wanukia Mudavadi akinyemelea Ruto
TOM MATOKE na WYCLIFF KIPSANG’ VIONGOZI wa eneo la Magharibi wameelezea uwezekano wa muungano wa kisiasa kati ya mwanzilishi wa...
- by adminleo
- March 25th, 2018
JAMVI: Uhuru afanikiwa kupunguza makali ya vinara wa upinzani kwa utawala wake
Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta hatimaye amefaulu kudhoofisha upinzani dhidi ya serikali yake kwa kumshawishi kiongozi wa ODM...
- by adminleo
- March 25th, 2018
Msituhusishe kwa mzozo wenu, Mutula awaambia vinara wa NASA
Na PIUS MAUNDU KIRANJA wa Wachache Seneti Mutula Kilonzo Junior ameonya vinara wa Muungano wa NASA dhidi ya kuwahusisha maseneta na...
- by adminleo
- March 25th, 2018
Weta na Mudavadi waapa kusambaratisha ndoa ya Uhuru na Raila
Na DERRICK LUVEGA na JUSTUS OCHIENG’ Kwa ufupi: Mudavadi asema Raila ni msaliti na kama jamii ya Waluhya inafaa kuepukana kabisa...
- by adminleo
- March 18th, 2018
Ruto anyemelea ngome ya NASA
Na KAZUNGU SAMUEL na LUCAS BARASA HATA kabla ya Rais Uhuru Kenyatta na kinara wa upinzani Raila Odinga kuzuru Pwani katika msururu wao...
- by adminleo
- March 18th, 2018
JAMVI: Tetesi za vinara wa NASA kukutana kisiri na Ruto zilivyoyeyusha misimamo mikali
MKUTANO wa Rais Uhuru Kenyatta na kinara wa NASA Raila Odinga wiki iliyopita ulianza kuandaliwa hata kabla ya hafla ya kumuapisha Bw Odinga...