Tag: ukatili
- by adminleo
- January 7th, 2019
Mama taabani kwa kuwachoma wanawe kwa upanga moto
Na RICHARD MUNGUTI MWANAMKE aliyewafanyia unyama wanawe wawili kuwa kuwachoma kwa upanga moto ameshtakiwa. Huku akiwa na hasira za mkizi...
- by adminleo
- May 28th, 2018
TAHARIRI: Lazima ukatili wa walimu ukabiliwe
Na MHARIRI POLISI wanapaswa kuharakisha na kuwatia mbaroni walimu wawili wa shule moja ya msingi katika kaunti ya Nyandarua,...
- by adminleo
- May 28th, 2018
Mwalimu atupwa ndani kwa kujeruhi mwanafunzi nyeti
Na STEPHEN NJUGUNA POLISI katika Kaunti ya Nyandarua, wamemkamata mmoja wa walimu watatu ambao Alhamisi iliyopita walidaiwa kumpiga...
- by adminleo
- April 24th, 2018
Polisi watetea udhalimu wao
Na LEONARD ONYANGO IDARA ya Polisi imetetea maafisa wake wawili ambao walinaswa katika video wakimtesa na kumhamisha kwa nguvu mwanamke...
- by adminleo
- April 1st, 2018
TAHARIRI: Ukatili wa polisi dhidi ya waandishi ulikiuka haki
Na MHARIRI UKATILI uliotekelezwa na maafisa wa polisi dhidi ya wanahabari katika Uwanja wa Ndege wa JKIAmnamo Jumatatu wakati wa kurejea...
- by adminleo
- March 20th, 2018
Polisi huyu amenishtaki kwa kumnyima asali, kidosho aambia mahakama
[caption id="attachment_3262" align="aligncenter" width="800"] Mary Wanjiru Ndung’u akiwa kortini Machi 20, 2018. Picha /RICHARD...