Tag: vitabu
- by adminleo
- October 9th, 2019
UCHAMBUZI WA VITABU TAHINIWA VYA FASIHI: Maudhui katika Tamthilia ya ‘Kigogo’
Na WANDERI KAMAU Nafasi ya mwanamke BAADHI ya wahusika wanawake katika tamthilia hii wamesawiriwa kuwa wazalendo na mashujaa, huku...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
Wauzaji vitabu walia wanapata hasara
Na MISHI GONGO WAMILIKI wa maduka ya vitabu mjini Mombasa wameitaka serikali iwaepushie hasara inayotokana na kubadilishwa kwa vitabu...
- by adminleo
- March 24th, 2019
OBARA: Ununuzi wa vitabu shuleni usiachiwe walimu wakuu
Na VALENTINE OBARA MATUKIO yenye umuhimu mkubwa katika sekta ya elimu yalishuhudiwa wiki iliyopita. Kwa bahati mbaya, hayakufanikiwa...
- by adminleo
- January 8th, 2019
Bora kitabu, wazazi wanunulia wanao vitabu kuukuu barabarani
NA RICHARD MAOSI Maduka yanayouza vitabu katika miji mingi nchini yamevuna pakubwa muhula huu wa kwanza wanafunzi wanaporejea shuleni...
- by adminleo
- December 10th, 2018
OBARA: Jopo la kuchunguza makosa vitabuni liokoe watoto wetu
Na VALENTINE OBARA INATIA moyo kusikia kwamba hatimaye serikali imechukua hatua kwa lengo la kuboresha yaliyomo kwenye vitabu...
- by adminleo
- October 24th, 2018
WAMALWA: Tuutumieni uvumbuzi wa kiteknolojia kuimarisha usomaji wetu
NA STEPHEN WAMALWA MWANZONI mwa Oktoba, nilifanya tathmini ya usomaji wetu wa vitabu katika maisha ya kila siku. Wengi wetu tunakiri...
- by adminleo
- October 24th, 2018
WANDERI: Tuepuke dhana ya kipebari kwenye vitabu vya watoto wetu
Na WANDERI KAMAU MOJAWAPO wa kurasa kwenye kitabu cha shule ya msingi unaonyesha mbunge fulani akiwasili kwa helikopta shuleni huku...
- by adminleo
- October 19th, 2018
Wachapishaji sasa wajitenga na makosa vitabuni
Na PETER MBURU WACHAPISHAJI wa vitabu, kupitia muungano wao wa KPA, Alhamisi walijitetea kutokana na malalamishi kutoka kwa umma...
- by adminleo
- October 18th, 2018
Wallah Bin Wallah aikejeli KICD kuruhusu mategu vitabuni
Na DENNIS LUBANGA MWANDISHI wa vitabu vya Kiswahili Wallah Bin Wallah amewaondolea lawama waandishi na wachapishaji wa vitabu, kutokana...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
Vitabu milioni 32 kusambazwa shuleni muhula wa pili
Na CHARLES WASONGA WACHAPISHAJI wanasema usambazaji wa vitabu vya kiada katika shule za umma chini ya mpango wa serikali wa...
- by adminleo
- March 11th, 2018
Walimu sasa waacha kutumia vitabu vipya
Na JOSEPH WANGUI WALIMU wamewacha kutumia vitabu vilivyosambazwa na serikali kwa mtaala mpya wakisema kuwa maelezo yake ni...
- by adminleo
- March 7th, 2018
Wazazi: Vitabu hivi vinawapotosha wanafunzi, viondolewe
Na VALENTINE OBARA WAZAZI Jumanne waliungana na walimu wa shule za sekondari kushinikiza kuondolewa kwa vitabu vipya vya Kidato cha...