• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 8:57 PM
Aliyedaiwa kuua mkewe aachwa kwa dhamana

Aliyedaiwa kuua mkewe aachwa kwa dhamana

NA ALEX KALAMA

MAHAKAMA Kuu ya Malindi imemwachilia kwa dhamana raia wa Uingereza aliyeshtakiwa kwa madai ya kumuua mkewe.

Bw Simon Harold Shiels, aliachiliwa kwa dhamana ya Sh500,000 au pesa taslimu Sh300,000 alipofika mahakamani kwa kesi kuhusu mauaji ya Jecinter Njoki mwaka wa 2018.

Ilidaiwa alimgonga na gari katika eneo la Kaoyeni, Kaunti ya Kilifi. Kesi itatajwa tena Oktoba.

  • Tags

You can share this post!

Waliopinga Azimio kortini wapewa siku tatu kuarifu...

Ruto asukuma Kingi na Jumwa meza moja

T L