• Nairobi
  • Last Updated May 9th, 2024 7:50 AM
Kampuni yaanza kukarabati vifaa katika kiwanda

Kampuni yaanza kukarabati vifaa katika kiwanda

NA BENSON AMADALA

KAMPUNI ya Sarrai Group, Uganda imeanza kukarabati vifaa vya kiwanda cha sukari cha Mumias kinachokumbwa na madeni na kuashiria mwanga wa matumaini kuhusu ufufuzi wa kiwanda hicho.

Shughuli hizo zinafanyika huku kampuni hiyo ikifuatilia kesi ya rufaa inayopinga uamuzi wa Mahakama Kuu kuondoa PVR Rao kama meneja mrasimu.

  • Tags

You can share this post!

DINI: Tusemezane kwani hakuna yasiyotatulika

Ombi Waislamu wadumishe amani uchaguzi ukinukia

T L