• Nairobi
  • Last Updated May 20th, 2024 9:16 PM
Kaunti yaanza matayarisho ya Madaraka Dei

Kaunti yaanza matayarisho ya Madaraka Dei

NA KNA

SERIKALI ya Embu kwa ushirikiano na kamati ya kuandaa sherehe za kitaifa, imeanza matayarisho ya awamu ya 60 ya sherehe za Madaraka Dei zitakazofanyika katika kaunti hiyo Juni 1, 2023.

Dhamira ya sherehe hizo zitakazoongozwa na Rais William Ruto ni “Afya Kwa Wote”.

Mnamo Desemba 12, 2022 Rais Ruto alitangaza kwenye hotuba yake kwamba shereza za Madaraka Dei zitaandaliwa kaunti hiyo.ya Embu.

Akiongea baada ya kukagua uwanja wa michezo wa Moi na uwanja wa maonyesho ya kilimo wa Njukiri, Gavana wa kaunti hiyo Cecily Mbarire alisema kamati ya sherehe za kitaifa imeteua uwanja huo wa maonyesho ya kilimo.

  • Tags

You can share this post!

TUSIJE TUKASAHAU: Mbona mifuko ya plastiki inaendelea...

TAHARIRI: KCPE: Serikali itatue lalama kuhusu matokeo

T L