• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 10:50 AM
Kingi afichua siri ya kuungana na Ruto kwa uchaguzi

Kingi afichua siri ya kuungana na Ruto kwa uchaguzi

NA WINNIE ATIENO

GAVANA wa Kilifi, Bw Amason Kingi, amesema mkataba wake na Naibu Rais, Dkt William Ruto, ulihitaji kuwa endapo Kenya Kwanza itashinda urais, pesa zitengwe ili kufufua viwanda vya kilimo vilivyoporomoka Pwani.

Kulingana naye, mkataba huo unahitaji pia pesa kutengwa kila mwaka kununua ardhi zitakazogawiwa maskwota.

Aliwarai Wapwani kuunga mkono chama chake cha PAA ili kipate usemi kitaifa.

  • Tags

You can share this post!

Nassir kupigwa jeki akiidhinishwa na IEBC kwa ugavana

Kibiwott na Aprot nje ya Riadha za Afrika, Conseslus ndani

T L