• Nairobi
  • Last Updated May 13th, 2024 9:55 AM

Leopards kusubiri Sharks gozi la Ligi

Na JOHN ASHIHUNDU MECHI za Ligi Kuu ya Kenya (KPL) zitarejelewa wikendi hii baada ya likizo ya wiki mbili. Baada ya kuanza msimu...

Wanyama asema hana pupa ya kujiunga na Club Brugge

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Victor Wanyama hana haraka ya kujiunga na Club Brugge hadi pale atakuwa na uhakika klabu hiyo ya Ubelgiji...

JOPO LAUNDWA: Lawajibishwa na jukumu la kuweka mustakabali mwema klabuni AFC Leopards

Na JOHN ASHIHUNDU WANACHAMA na washikadau wa klabu ya AFC Leopards wameteua jopo la watu 10 kusimamia klabu hiyo kwa muda hadi uchaguzi...

Hekaheka za uchaguzi Leopards zashika kasi

Na JOHN ASHIHUNDU MWANASOKA mstaafu, Dan Shikanda ambaye anawania kiti cha mwenyekiti katika uchaguzi ujao wa klabu ya AFC Leopards,...

KPL kutoa uamuzi kuhusiana na gozi la Leopards, SoNy

Na GEOFFREY ANENE MECHI ya mkondo wa pili ya Ligi Kuu kati ya SoNy Sugar na AFC Leopards inatarajiwa kuamuliwa leo Jumanne ama kama...

Leopards na Nzoia zatamba, Rangers ikishuka zaidi KPL

Na GEOFFREY ANENE AFC Leopards na Nzoia Sugar ndizo klabu zilizoimarika zaidi kwenye jedwali la Ligi Kuu baada ya mechi za raundi ya 21...

AFC Leopards SC yaipiga Western Stima 2-1

Na GEOFFREY ANENE MARCEL Kaheza amekuwa shujaa wa AFC Leopards SC baada ya kuifungia bao la ushindi ikibwaga Western Stima 2-1 kwenye Ligi...

Ingwe mawindoni kusafisha rekodi yake duni dhidi ya Stima

Na GEOFFREY ANENE AFC Leopards inatarajiwa Jumamosi kuwa na kibarua kigumu dhidi ya Western Stima itakapoalika klabu hii kutoka kaunti ya...

Zoo Kericho wapaa Leopards ikifufuka katika soka ya KPL

Na GEOFFREY ANENE AFC Leopards pamoja na Zoo Kericho ndizo klabu zilizoimarika zaidi kwenye jedwali la Ligi Kuu baada ya mechi za raundi...

Mathare na Ulinzi waimarika katika mapambano KPL

Na GEOFFREY ANENE KLABU za Mathare United, SoNy Sugar na Ulinzi Stars pamoja na Mount Kenya United ndizo timu zilizoimarika kwenye Ligi...

AFC Leopards yaendelea kusajili msururu wa matokeo mabaya

Na GEOFFREY ANENE AFC Leopards SC haina mahali pa kujificha baada ya kupokezwa kichapo chake cha sita mfululizo kwa kulimwa 2-0 na Mathare...

AFC Leopards pabaya katika CAF baada ya kukubali sare

[caption id="attachment_1272" align="aligncenter" width="800"] Duncan Otieno (kulia) wa AFC Leopards apambana na Piepre Michael Tavina...