Tag: afc leopards
- by adminleo
- September 14th, 2019
Leopards kusubiri Sharks gozi la Ligi
Na JOHN ASHIHUNDU MECHI za Ligi Kuu ya Kenya (KPL) zitarejelewa wikendi hii baada ya likizo ya wiki mbili. Baada ya kuanza msimu...
- by adminleo
- August 27th, 2019
Wanyama asema hana pupa ya kujiunga na Club Brugge
Na GEOFFREY ANENE NYOTA Victor Wanyama hana haraka ya kujiunga na Club Brugge hadi pale atakuwa na uhakika klabu hiyo ya Ubelgiji...
- by adminleo
- July 17th, 2019
JOPO LAUNDWA: Lawajibishwa na jukumu la kuweka mustakabali mwema klabuni AFC Leopards
Na JOHN ASHIHUNDU WANACHAMA na washikadau wa klabu ya AFC Leopards wameteua jopo la watu 10 kusimamia klabu hiyo kwa muda hadi uchaguzi...
- by adminleo
- June 6th, 2019
Hekaheka za uchaguzi Leopards zashika kasi
Na JOHN ASHIHUNDU MWANASOKA mstaafu, Dan Shikanda ambaye anawania kiti cha mwenyekiti katika uchaguzi ujao wa klabu ya AFC Leopards,...
- by adminleo
- April 16th, 2019
KPL kutoa uamuzi kuhusiana na gozi la Leopards, SoNy
Na GEOFFREY ANENE MECHI ya mkondo wa pili ya Ligi Kuu kati ya SoNy Sugar na AFC Leopards inatarajiwa kuamuliwa leo Jumanne ama kama...
- by adminleo
- April 9th, 2019
Leopards na Nzoia zatamba, Rangers ikishuka zaidi KPL
Na GEOFFREY ANENE AFC Leopards na Nzoia Sugar ndizo klabu zilizoimarika zaidi kwenye jedwali la Ligi Kuu baada ya mechi za raundi ya 21...
- by adminleo
- March 23rd, 2019
AFC Leopards SC yaipiga Western Stima 2-1
Na GEOFFREY ANENE MARCEL Kaheza amekuwa shujaa wa AFC Leopards SC baada ya kuifungia bao la ushindi ikibwaga Western Stima 2-1 kwenye Ligi...
- by adminleo
- March 22nd, 2019
Ingwe mawindoni kusafisha rekodi yake duni dhidi ya Stima
Na GEOFFREY ANENE AFC Leopards inatarajiwa Jumamosi kuwa na kibarua kigumu dhidi ya Western Stima itakapoalika klabu hii kutoka kaunti ya...
- by adminleo
- March 5th, 2019
Zoo Kericho wapaa Leopards ikifufuka katika soka ya KPL
Na GEOFFREY ANENE AFC Leopards pamoja na Zoo Kericho ndizo klabu zilizoimarika zaidi kwenye jedwali la Ligi Kuu baada ya mechi za raundi...
- by adminleo
- February 26th, 2019
Mathare na Ulinzi waimarika katika mapambano KPL
Na GEOFFREY ANENE KLABU za Mathare United, SoNy Sugar na Ulinzi Stars pamoja na Mount Kenya United ndizo timu zilizoimarika kwenye Ligi...
- by adminleo
- February 23rd, 2019
AFC Leopards yaendelea kusajili msururu wa matokeo mabaya
Na GEOFFREY ANENE AFC Leopards SC haina mahali pa kujificha baada ya kupokezwa kichapo chake cha sita mfululizo kwa kulimwa 2-0 na Mathare...
- by adminleo
- February 12th, 2018
AFC Leopards pabaya katika CAF baada ya kukubali sare
[caption id="attachment_1272" align="aligncenter" width="800"] Duncan Otieno (kulia) wa AFC Leopards apambana na Piepre Michael Tavina...