• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 8:50 AM

Mawakili waliowakilisha Jumwa walia kuitiwa DCI

Na PHILIP MUYANGA MAWAKILI waliokuwa wakimwakilisha Mbunge wa Malindi, Bi Aisha Jumwa katika kesi inayohusu madai ya ufisadi,...

Hakimu ashuku ipo njama kuchelewesha kesi ya ufisadi dhidi ya Jumwa

Na PHILIP MUYANGA MAHAKAMA ya kusikiliza kesi za ufisadi imelalamikia mienendo ya mawakili wa Mbunge wa Malindi, Bi Aisha Jumwa na...

Jumwa ashindwa kushawishi mahakama iahirishe kesi yake ya tuhuma za ufisadi

Na PHILIP MUYANGA MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa pamoja na washukiwa wengine sita wa ufisadi walilazimika kujibu mashtaka licha ya...

Jumwa aonywa UDA itazima nyota yake

Na ALEX KALAMA WABUNGE wa chama cha ODM wamemwonya Mbunge wa Malindi, Bi Aisha Jumwa kwamba, nyota yake ya kisiasa iko hatarini kuzima...

Kesi ya Jumwa kuanza mwaka 2022

Na BRIAN OCHARO MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa huenda atalazimika kujitetea kortini wakati kampeni za kurithi kiti cha Gavana wa...

Wazee wa Kaya sasa wavuruga karata za Jumwa

Na MAUREEN ONGALA WAZEE wa Kaya wamezamia siasa za urithi wa kiti cha ugavana Kaunti ya Kilifi, katika hali ambayo itavuruga hesabu za...

Jumwa akwamilia UDA, adai Ruto ataingia Ikulu 2022

Na VALENTINE OBARA VIGOGO wa kisiasa ambao wangependa kumvuta Mbunge wa Malindi, Bi Aisha Jumwa upande wao kutoka kwa kikosi cha Naibu...

Jumwa atangaza kikosi chake 2022

VALENTINE OBARA na KALUME KAZUNGU MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa ametangaza baadhi ya wanasiasa anaonuia kuungana nao anapolenga...

Jumwa apuuza hitaji la digrii kwa uongozi wa kisiasa

Na MAUREEN ONGALA MBUNGE wa Malindi Aisha Jumwa amepuuzilia mbali suala la kuwa wanasiasa watahitajika kuwa na digrii kuwania viti...

DPP aagizwa kufichua ushahidi wa kesi ya ufisadi dhidi ya Jumwa

Na PHILIP MUYANGA MAHAKAMA imeamuru upande wa mashtaka kufichulia washtakiwa kwa wakati ufaao ushahidi inaonuia kuutumia katika kesi ya...

Dkt Immanuel Gitamo: Mwanajeshi kutoka Kitale anayepiga jeki juhudi za SpaceX ya Elon Musk, Amerika

CHRIS WAMALWA Na SAMMY WAWERU TANGU hadithi ya ufanisi wa Dkt Emmanuel Gitamo ifichuke kupitia Jarida la The US Army mwezi uliopita,...

Tangatanga Pwani wakata tamaa ya kuunda chama, wataingia UDA

Na MOHAMED AHMED BAADHI ya wanasiasa wa Pwani ambao wanamuunga mkono Naibu Rais William Ruto na waliokuwa wanasukuma mpango wa kuunda...