• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 3:46 PM

Pigo kwa Jumwa na Tangatanga wakizimwa Kadu

Na CHARLES LWANGA WANASIASA wa pwani wanaomuunga mkono Naibu Rais William Ruto wamepata pigo kuu, baada ya juhudi zao za kuzindua upya...

Chama cha Pwani ni Kadu Asili – Jumwa

Na MAUREEN ONGALA MBUNGE wa Malindi Bi Aisha Jumwa, amefichua kuwa Chama cha Kadu Asili kinapigwa msasa ili kiwe chama rasmi cha...

NCIC yasema haitawashtaki Sifuna na Jumwa

Na CHARLES WASONGA KATIBU Mkuu wa ODM Edwin Sifuna na Mbunge wa Malindi Aisha Jumwa wamesamehewa kwa kosa la kulumbana kwa kutumia...

MARY WANGARI: Viongozi wa kike waheshimiwe, taasubi za kiume zikome

NA MARY WANGARI KATIKA sehemu kubwa ya wiki iliyopita, Wakenya waliachwa vinywa wazi wakati wanasiasa walipoonekana kutupilia mbali...

Jumwa matatani kwa kushambulia viongozi Pwani

Na MOHAMED AHMED MBUNGE wa Malindi Aisha Jumwa kwa mara nyingine amejipata matatani akikashifiwa kwa kuwamiminia matusi viongozi wa...

DPP kuwasilisha mashahidi 30 kwa kesi ya Jumwa

Na BRIAN OCHARO MASHAHIDI 30 wanatarajiwa kutoa ushahidi wao katika kesi ya mauaji inayomkumba Mbunge wa Malindi, Bi Aisha Jumwa na...

ODM yatafuta fimbo ya kumnyamazisha Jumwa kwenye ugavana 2022

Na ALEX AMANI CHAMA cha ODM kimo mbioni kumtafuta mgombea atakayemenyana na Mbunge wa Malindi Aisha Jumwa katika kinyang’anyiro cha...

Aisha Jumwa aachiliwa kwa dhamana ya Sh4 milioni pesa taslimu

Na BRIAN OCHARO MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa aliyezuiliwa korokoroni kwa siku ya nne Alhamisi, ameachiliwa Ijumaa kwa dhamana ya...

Jumwa akalia kaa la moto

Na BRIAN OCHARO MBUNGE wa Malindi, Aisha Jumwa pamoja na msaidizi wake, Geoffrey Otieno wataadhimisha sikukuu ya Mashujaa...

Jumwa kujibu mashtaka ya mauaji

Na RICHARD MUNGUTI MBUNGE wa Malindi Aisha Jumwa sasa atafunguliwa mashtaka ya mauaji pamoja na mlinzi wake. Afisa mkuu katika afisi ya...

Jumwa kukamatwa kwa tuhuma za ufisadi

Na CHARLES WASONGA MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji ameamuuru kukamatwa kwa Mbunge wa Malindi Aisha Jumwa kwa madai ya...

SIASA: ‘Minji minji’ wahisi joto

Na WANDERI KAMAU BAADHI ya wanawake wanasiasa waliosisimua wapigakura na kuchaguliwa kwa kishindo mnamo 2017, wamejipata wakikabili...