• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 1:46 PM

BBI: Uhuru na Raila walegeza msimamo

Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga, wanafanya kazi ya ziada ili kuzima uasi unaoibuka katika azima...

LEONARD ONYANGO: Vijana wawe makini kabla ya kufanya uamuzi kuhusu BBI

Na LEONARD ONYANGO VIJANA wanafaa kuchunguza kwa makini mswada wa Mpango wa Maridhiano (BBI) kabla ya kufanya uamuzi wa kuunga mkono au...

CECIL ODONGO: Utata wa BBI pia ulibugika miswada ya Bomas, Wako

Na CECIL ODONGO MAKUNDI mbalimbali ya kijamii na wanasiasa wamekuwa wakijitokeza kudai kwamba, maoni yao hayakujumuishwa kwenye ripoti...

JAMVI: Sura za kikosi cha Ruto katika BBI

Na WANDERI KAMAU KUFUATIA uzinduzi wa ripoti ya Jopokazi la Maridhiano (BBI) na Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM, Raila Odinga,...

Milango ya mjadala kuhusu BBI imefungwa, Ruto aambiwa

Na WAANDISHI WETU JUHUDI za Naibu Rais, William Ruto za kutaka mdahalo wa kitaifa kuhusu ripoti ya Jopokazi la Maridhiano (BBI),...

Kibarua cha Joho na Kingi kuuza BBI eneo la Pwani

?Na MOHAMED AHMED NGOMA ya ripoti ya Jopokazi la Mpango wa Maridhiano (BBI) ikiendelea kurindima, ni dhahiri kuwa viongozi wengi...

BBI: Mtihani kwa Matiang’i ‘Reggae’ ikianza

Na WANDERI KAMAU KUZINDULIWA kwa ripoti ya Jopokazi la Maridhiano (BBI) Jumatatu na Rais Uhuru Kenyatta kunatarajiwa kuongeza kibarua...

BBI: Raila aikosoa IEBC, asema ‘refarenda itagharimu Kenya Sh2 bilioni pekee’

NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amekosoa vikali kauli ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kwamba itaigharimu Kenya...

MATHEKA: Itakuwa makosa makubwa kupuuza wakosoaji wa BBI

Na BENSON MATHEKA SIO siri kwamba joto la kisiasa litapanda nchini ikiwa mapendekezo ya ripoti ya Jopokazi la Maridhiano (BBI)...

BBI: IEBC kupata makamishna wapya kabla ya refarenda

Na CHARLES WASONGA MAANDALIZI ya kura ya maamuzi kuhusu mageuzi ya Katiba yaliyopendekezwa katika ripoti ya mpango wa maridhiano (BBI)...

BBI: Uhuru alimcheza Raila?

Na WANDERI KAMAU KAULI ya Rais Uhuru Kenyatta mnamo Jumatatu kuwa Naibu Rais William Ruto alifahamu kuhusu handisheki, imeibua maswali...

BBI yazua mpasuko kisiasa

Na WAANDISHI WETU WANASIASA sasa wametofautiana kuhusu ikiwa ripoti ya Mpango wa Maridhiano (BBI) inastahili kufanyiwa marekebisho kwa...