Tag: BBI
Yaelewe mabadiliko katika ripoti ya BBI na mswada wake
Na CHARLES WASONGA KAMATI ya kiufundi ya mchakato wa maridhiano (BBI) imefanya mabadiliko kadha katika ripoti na mswada wa awali...
Raila akanganya kuhusu BBI
Na MWANDISHI WETU KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga, Jumatano alionekana kuchanganyikiwa kuhusu yaliyomo kwenye mswada wa marekebisho ya...
Kundi la wabunge lalenga kukusanya sahihi 4 milioni kuunga mswada wa BBI
Na CHARLES WASONGA KAMATI shirikishi ya mpango wa maridhiano (BBI) imetangaza kuwa mchakato wa ukusanyaji sahihi za kuungwa mkono kura...
Mbinu za Uhuru, Raila kukabiliana na malalamishi ya BBI
Na BENSON MATHEKA Vinara wa mchakato wa kubadilisha katiba nchini, Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga,...
Ubinafsi wa vigogo sumu kwa BBI
Na CHARLES WASONGA MAPUUZA ya kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga kuhusu shinikizo za makundi mbalimbali, zinazohimiza ripoti ya Mpango wa...
BBI: Raila apuuza mapendekezo ya viongozi wa kidini
LEONARD ONYANGO Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amepuuzilia mbali mapendekezo ya viongozi wa makanisa wanaotaka mswada wa...
Jihadharini na wakora wa siasa, aonya Raila
Na LEONARD ONYANGO KINARA wa ODM, Bw Raila Odinga amewashauri Wakenya kujihadhari na matapeli wa kisiasa wanaotumia uongo kuingia...
BBI ni daraja la kutufikisha Canaan – Uhuru
Na LEONARD ONYANGO RAIS Uhuru Kenyatta amewataka Wakenya kuunga mkono mswada kuhusu Mpango wa Maridhiano (BBI) huku akisema utawafikisha...
Makanisa yatishia kupinga BBI
Na Valentine Obara VIONGOZI wa makanisa ya kievanjelisti nchini, wameapa kufanya kampeni za kupinga mabadiliko ya katiba kupitia Mpango...
BBI: Raila azima sherehe ya Ruto
VALENTINE OBARA na LEONARD ONYANGO KINARA wa ODM, Bw Raila Odinga, amepuuzilia mbali viongozi waliokuwa na matumani kwamba, ripoti ya...
BBI: Ruto achangamkia ahadi ya Raila
Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto amechangamkia ahadi iliyotolewa na kiongozi wa ODM Raila Odinga kwamba ripoti ya mpango wa...
BBI: Wanasiasa wang’ang’ania vinono
CECIL ODONGO Na BENSON MATHEKA Wanasiasa wanaendelea kung’ang’ana ili kuhakikisha kwamba maslahi yao yanazingatiwa kabla ya ripoti...