Tag: BIBLIA
- by T L
- December 3rd, 2021
Ashtakiwa kwa kuiba Biblia
Na RICHARD MUNGUTI KIBARUA aliyeiba Biblia mbili kutoka duka la Supa asome ajiimarishe maisha yake ya kiroho jana alifikishwa mahakama...
- by adminleo
- March 10th, 2020
Wafungwa 130 katika gereza la Thika watuzwa vyeti elimu ya Biblia
Na LAWRENCE ONGARO GEREZA limetajwa kama mahali pa kurekebisha tabia na kupalilia matendo mema wala sio mahali pa...
- by adminleo
- December 17th, 2019
Gavana anukuu Biblia huku akigura kundi la Ruto
Na NDUNGU GACHANE VUGUVUGU la kisiasa linalomuunga mkono Naibu wa Rais William Ruto, maarufu kama ‘Tangatanga’ limepata pigo kubwa...
- by adminleo
- November 24th, 2019
DINI: Ufalme wa mbinguni ni kama karamu ya harusi, unahitaji vazi la kipekee kuingia
NA PADRE FAUSTIN KAMUGISHA Kila shughuli ina vazi lake. Kuna vazi la kuogelea. Kuna vazi la michezo. Kuna vazi la sikukuu. Kuna vazi la...
- by adminleo
- May 28th, 2019
Muuguzi afutwa kazi kwa kumpa mgonjwa wa kansa Biblia
Na MASHIRIKA UINGEREZA MAHAKAMA moja iliamua kuwa hatua ya kumfuta kazi mhudumu wa afya ambaye alijaribu kumpa mgonjwa wa saratani...
- by adminleo
- May 20th, 2019
Dhamana ya Sh500,000 kila mmoja kwa kuiba Biblia 500
Na RICHARD MUNGUTI WANAUME watatu walishtakiwa Jumatatu kwa wizi wa Bibilia 500. Reuben Rogoi Maina, John Mapesa Andulu na Josephat...
- by adminleo
- February 6th, 2019
Motoni kwa kuua mtoto aliyeshindwa kukariri vifungu vya Biblia
MASHIRIKA Na PETER MBURU WANANDOA wamekamatwa kuhusiana na kisa ambapo mtoto wao wa miaka saba alifariki, ikihofiwa kuwa walimuadhibu...
- by adminleo
- September 24th, 2018
Wakenya watumia mafungu ya Biblia kukemea wabunge
Na PETER MBURU GHADHABU ya Wakenya kufuatia hatua ya bunge kupitisha sheria ya kupandisha ushuru wa bidhaa muhimu imewapelekea kuamua...
- by adminleo
- August 29th, 2018
KAULI YA WALIBORA: Dhima ya kutafsiri neno la Mungu haina masihara
Na PROF KEN WALIBORA BIBLIA Takatifu ndicho kitabu kilichotafsiriwa kwa lugha nyingi zaidi duniani. Mabilioni ya watu wanaosoma...