Tag: chakula
- by adminleo
- November 14th, 2019
KILIMO NA BIASHARA MASHINANI: Kilimo cha mboga za aina tofauti kimesaidia aweze kulipia wanawe karo
Na CHARLES ONGADI WAKULIMA wengi Kaunti ya Kisumu walikuwa na dhana kwamba kilimo cha mboga hakiwezi kushamiri kama ilivyo kwa kilimo...
- by adminleo
- November 12th, 2019
WATU NA KAZI ZAO: Ukakamavu umemwezesha kujiimarisha licha ya changamoto
Na SAMMY WAWERU BI Irene Maina amesomea upishi, na ni taaluma aliyoienzi tangu akiwa na umri mdogo. Alifanikiwa kupata nafasi ya...
- by adminleo
- October 18th, 2019
ONYANGO: Rais alifaa kuwa mstari wa mbele Siku ya Chakula Duniani
Na LEONARD ONYANGO ULIMWENGU, siku mbili zilizopita, uliadhimisha Siku ya Chakula Duniani japo maadhimisho hayo yalionekana 'kama vile'...
- by adminleo
- October 16th, 2019
Siku ya Chakula Duniani: Kenya ingali inakabiliwa na ukosefu wa chakula cha kutosha
Na MAGDALENE WANJA na BARNABAS BII HUKU ulimwengu ukiadhimisha Siku ya Chakula Duniani - World Food Day - leo Jumatano, Kenya ni...
- by adminleo
- October 4th, 2019
MAPISHI: Biriani ya nyama ya mbuzi
Na MARGARET MAINA [email protected] Muda wa kuandaa: Dakika 15 Muda wa mapishi: Dakika 40 Walaji:...
- by adminleo
- October 1st, 2019
MAZINGIRA NA SAYANSI: Umuhimu wa nyuki kwa chakula na mazingira
Na LEONARD ONYANGO KUNA uwezekano kwamba serikali inachangia katika kudorora kwa uzalishaji wa chakula nchini. Hii inatokana na hatua...
- by adminleo
- September 17th, 2019
Wanafunzi wa TUM walia bei ya vyakula kupandishwa
NA STEVE MOKAYA Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kiufundi cha Mombasa (TUM) wameghadhabishwa na hatua ya wenye mikahawa iliyo...
- by adminleo
- July 24th, 2019
Jopokazi la kuimarisha ubora cha chakula labuniwa
NA MARY WANGARI Serikali imeunda kamati inayojumuisha wadau mbalimbali ili kuwezesha utekelezaji wa sheria kuhusu ubora wa chakula huku...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Dume lachoma mkewe kwa kukosa kumpikia githeri
Na GEORGE MUNENE MWANAMKE amelazwa katika Hospitali ya Kirinyaga akiwa kwa hali mahututi baada ya kushambuliwa na mume wake katika mtaa...
- by adminleo
- June 11th, 2019
WASONGA: Rotich atangaze mikakati ya chakula cha kutosha
Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Fedha, Henry Rotich kesho anatarajiwa kufika bungeni kuwafafanulia Wakenya namna ambavyo Serikali...
- by adminleo
- June 6th, 2019
Familia 800 za Waislamu zapokea chakula kutoka kwa mbunge wa Starehe
Na SAMMY KIMATU FAMILIA za Kiislamu zaidi ya 500 zilinufaika kwa msaada wa chakula kutoka kwa mbunge wa Starehe, Bw Charles Njagua Kanyi...
- by adminleo
- May 21st, 2019
Wanafunzi wachunguzwa kwa kufanyia chakula cha walimu ‘makubwa’
MASHIRIKA Na PETER MBURU POLISI nchini Marekani wanachunguza kisa ambapo wanafunzi wa shule moja wanaoshukiwa kuwa walikojolea,...