Tag: china
- by adminleo
- February 7th, 2020
Wanafunzi kutoka Kenya walio China wasema serikali imewatelekeza
Na DIANA MUTHEU CHAMA cha wanafunzi wa Kenya walio China (KENSWA) kimelaumu serikali kwa kuwatenga na kuwatelekeza watu katika nchi hiyo...
- by adminleo
- January 29th, 2020
KQ yasema haisitishi safari za kuenda China, aghalabu kwa sasa
Na ALLAN OLINGO SHIRIKA la ndege la Kenya Airways, KQ limesema Jumatano halisitishi kwa sasa safari za ndege hadi China licha ya kitisho...
- by adminleo
- January 22nd, 2020
Hofu tele China virusi hatari vikiua karibia watu 10
Na MASHIRIKA MTU wa tisa amefariki China kutokana na aina mpya ya virusi ambavyo vimesambaa kwa kasi kote nchini humo, huku mamlaka...
- by adminleo
- November 4th, 2019
Ghasia zachacha Hong Kong ikipinga utawala wa China
NA AFP GHASIA zinaendelea kushuhudiwa mjini Hong Kong baada ya raia kupinga vikali udhibiti wa eneo hilo na serikali kuu ya China yenye...
- by adminleo
- October 26th, 2019
MWANAMKE MWELEDI: Jina lake hutikisa wanariadha duniani
Na KEYB JINA lake linapotajwa, ulimwengu wa riadha humu nchini na kimataifa sharti umvulie kofia. Sio mwingine bali ni Vivian Jepkemoi...
- by adminleo
- August 22nd, 2019
Maporomoko ya ardhi yasababisha maafa China
Na AFP BEIJING, China WATU tisa wamefariki na wengine 35 bado hawajulikani waliko kufuatia msururu wa maporomoko ya ardhi...
- by adminleo
- March 23rd, 2019
Mlipuko katika kiwanda cha kemikali China wasababisha vifo vya watu 44
Na MASHARIKI WATU 44 wameuawa huku wengine 600 wakijeruhiwa katika mlipuko uliotokea katika kiwanda kimoja cha kutengeneza kemikali ya...
- by adminleo
- May 22nd, 2018
Misikiti yaagizwa ipeperushe bendera, ifunze waumini kuhusu chama tawala
Na AFP na VALENTINE OBARA BEIJING, UCHINA MISIKITI yote imeagizwa kupeperusha bendera za kitaifa ili “kuonyesha moyo wa uzalendo”...
- by adminleo
- April 24th, 2018
Wanachuo kizimbani kwa kuwapora wawekezaji wa Uchina mamilioni
Na RICHARD MUNGUTI WANAFUNZI wawili wa chuo kikuu kimoja jijini walioshtakiwa Jumatatu walidaiwa ni wanachama wa genge la majambazi...
- by adminleo
- April 12th, 2018
Mtoto azaliwa miaka minne baada ya wazazi wake kuangamia ajalini
MASHIRIKA na CHARLES WASONGA MIAKA minne baada ya mke na mume kufariki gari lao lilipohusika katika ajali, mtoto wao alizaliwa na mama...
- by adminleo
- March 7th, 2018
Rais wa China akaangwa kwa nia yake ya kusalia madarakani milele
Na AFP BEIJING, CHINA MPANGO wa Rais wa China Xi Jinping kutaka kuwa kiongozi wa maisha umewakera, na kuwashangaza watu wengi nchini...
- by adminleo
- February 19th, 2018
China yaipa Kenya msaada wa mchele magunia 90,000
Na WINNIE ATIENO SERIKALI ya Uchina imeipa Kenya msaada wa mchele ili kukabiliana na baa la njaa linaloendelea kukumba sehemu mbalimbali...