Tag: china
- by T L
- November 11th, 2021
Tiba za kiasili za China tishio kwa Afrika-Ripoti
Na MASHIRIKA BEIJING, CHINA UPANUZI UNAOUNGWA mkono na Beijing kuhusu Dawa za Kiasili za China (TCM) katika mataifa mengi ya Afrika,...
‘WHO haitaishinikiza Uchina kufichua chanzo cha corona’
NA MASHIRIKA SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limesema haliwezi kuilazimisha Uchina kutoa habari zaidi kuhusu chanzo cha...
China kuchanganya chanjo mbalimbali kukabili corona
NA AP CHINA inapanga kuchanganya chanjo zake za kukabili virusi vya corona na chanjo kutoka nchi zingine ili kuimarisha ubora...
China yaanza kutoa chanjo ya Covid-19 kwa wageni wa mataifa mbalimbali
Na MASHIRIKA OFISI ya mambo ya kigeni jijini Beijing imesema Beijing imeanza kuwapa wageni wa mataifa mbalimbali chanjo ya...
CORONA: Uwezo wa chanjo ya China katika kuisaidia Afrika kukabili upungufu
Na MASHIRIKA MNAMO Machi 2021, Kituo cha Kupambana na Maradhi barani Afrika (Afrika CDC), kilitangaza kuwa bara hili bado linakabiliwa...
Wataalam watarajiwa China kuchunguza kiini cha corona
Na MASHIRIKA BEIJING, China WATAALAM wa Shirika la Afya Duniani (WHO) wanatazamiwa kufika China kuchunguza kiini cha virusi vya...
Watu 18 wafa kwenye mgodi China
Na AFP BEIJING, China WACHIMBA migodi 18 Jumamosi, Desemba 5, 2020, walithibitishwa kufariki baada ya gesi ya ukaa kuvuja ndani ya...
- by adminleo
- June 18th, 2020
Uhuru sasa aililia China ilegeze masharti ya madeni
Valentine Obara na PSCU RAIS Uhuru Kenyatta ameiomba Serikali ya China kulegeza masharti ya madeni ambayo taifa hilo linadai Kenya na...
- by adminleo
- June 17th, 2020
Wachina waliokuwa Kenya waruhusiwa kurudi kwao
STEVE NJUGUNA Serikali ya China itawatoa wananchi wake 400 kutoka Kenya, huku kikundi cha kwanza kikiondoka Jumanne saa tano usiku kwa...
- by adminleo
- June 16th, 2020
Mchina ndani kwa kuuza vifaa feki vya corona
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI Mkuu wa kampuni moja ya Uchina alishtakiwa Jumatatu kwa kuuza bidhaa feki za kupima ugonjwa wa...
- by adminleo
- April 11th, 2020
Mateso ya Wakenya China: Serikali yawasilisha barua ya malalamishi
Na AGGREY MUTAMBO Kenya imewasilisha malalamishi kwa serikali ya China kuhusiana na picha zilizopeperushwa kwenye ruinga na mitandaoni...
- by adminleo
- February 17th, 2020
China kuharibu pesa zote kuzima maambukizi zaidi
Na MASHIRIKA BENKI Kuu ya China imetangaza kuwa itaharibu pesa zote ambazo zimekusanywa na hospitali, mabasi na hata masoko katika...