Tag: dawa za kulevya
- by adminleo
- July 14th, 2019
Joyce Akinyi akamatwa tena kuhusu mihadarati
Na Benson Matheka MFANYABIASHARA mbishi wa Nairobi, Joyce Akinyi na mwanamume raia wa Congo, walikamatwa jana kwa kushukiwa kulangua...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Washukiwa wakuu wa biashara ya mihadarati wauawe – Kamishna
NA KALUME KAZUNGU KAMISHNA wa Kaunti ya Lamu, Joseph Kanyiri amesema ametamani sana kuwa miongoni mwa wabunge wanaotunga na kupitisha...
- by adminleo
- June 12th, 2019
Mtanzania aliyenaswa na Heroin ndani miaka 30 Mombasa
Na BRIAN OCHARO RAIA wa Tanzania amefungwa jela miaka 30 kwa kupatikana na hatia ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroin za...
- by adminleo
- June 4th, 2019
Jamii za Mlima Kenya zinakosa nguvu za kiume kwa kuabudu pombe na miraa – Nacada
Na MWANGI MUIRURI MAMLAKA ya Uhamasisho na Uthibiti kuhusu Ulevi na Utumizi wa Mihadarati (Nacada) imeonya kuwa pombe na miraa zitazidi...
- by adminleo
- May 31st, 2019
Sabina Chege alaumiwa kwa ‘kutega bomu’ la mihadarati nchini
Na MWANGI MUIRURI BAADHI ya viongozi wa kidini, wadau katika vita dhidi ya mihadarati na viongozi wamepinga kwa kauli moja pendekezo...
- by adminleo
- May 29th, 2019
Utumiaji wa mihadarati haufai kuwa kosa – Sabina Chege
Na MWANGI MUIRURI WATUMIAJI wa dawa za kulevya hawatakuwa wakikamatwa na kufungwa jela iwapo Bunge litaidhinisha mapendekezo ya...
- by adminleo
- May 2nd, 2019
DAWA ZA KULEVYA: Mnigeria abubujikwa na machozi kortini akitaka simu
Na BENSON MATHEKA Mwanamke raia wa Nigeria anayekabiliwa na mashtaka ya kulangua dawa za kulevya alizodaiwa kuficha ndani ya chupa za...
- by adminleo
- March 10th, 2019
Polisi ndani baada ya kunaswa wakiiba Heroin ya Sh75 milioni
BERNARDINE MUTANU na BENSON MATHEKA MAAFISA wa polisi walikamatwa Jumamosi na makachero kwa kujaribu kuiba dawa za kulevya za thamani ya...
- by adminleo
- January 2nd, 2019
LAMU: Washinikiza mafunzo ya mihadarati yajumuishwe kwa madrassa
NA KALUME KAZUNGU BARAZA la wazee, miungano ya akina mama na vijana Kaunti ya Lamu yanashinikiza somo la dawa za kulevya, athari zake na...
- by adminleo
- August 6th, 2018
WENDAWAZIMU WA LUANDA: Ni bangi au urogi?
NA FAUSTINE NGILA UNAPOTAJA neno ‘Luanda’ kwa wakazi wa magharibi mwa Kenya, kinachowajia akilini ni taswira ya soko lililojaa...
- by adminleo
- April 8th, 2018
SHAIRI: Athari za vileo na mihadarati
Na KULEI SEREM Koti langu ninavua, ili nipate kunena, Mwili wangu unaloa, japo mie sijanona, Ulimi wanichochea, nina neno kwa...
- by adminleo
- March 29th, 2018
Wailaumu serikali ya kaunti kukosa kuwanasua kutokana na minyororo ya mihadarati
NA KALUME KAZUNGU WAATHIRIWA wa ulanguzi wa dawa za kulevya eneo la Lamu wanailaumu serikali ya kaunti hiyo kwa kuwatelekeza katika...