Tag: DHULUMA
- by adminleo
- December 11th, 2019
Dhuluma dhidi ya wanawake bado zipo – Umoja wa Mataifa
Na MAGDALENE WANJA Wakati ulimwengu uliadhimisha siku ya haki za kibinadamu siku ya Jumanne, kitengo cha UN-Women ambacho ni mojawapo ya...
- by adminleo
- September 1st, 2019
NGUGI: Mabinti wa kisasa wakome kuwananyanyasa waume katika ndoa
Na MWITHIGA NGUGI MKUKI kwa nguruwe siku zote huwa ni mtamu lakini kwa binadamu huwa ni mchungu. Wakati mtoto wa wa kike anapofanyiwa...
- by adminleo
- August 27th, 2019
Chama chalia wanaume wanaopigwa na wake zao wasaidiwe
NA JOSEPH WANGUI CHAMA cha Maendeleo ya Wanaume kimelia kwamba wanaume waliopo kwenye ndoa wanaendelea kupokezwa kipigo na wake zao,...
- by adminleo
- July 24th, 2019
Mwanamke amuua mwanamume aliyemzaba kofi
Na PETER MBURU MWANAMKE Jumanne alimuua mwanamume katika eneo la Elburgon, Kaunti ya Nakuru, baada ya mwanamume huyo kumzaba...
- by adminleo
- July 15th, 2019
Ajuza asimulia korti jinsi mwanawe amekuwa akimcharaza
REGINA KINOGU Na STEPHEN MUNYIRI NYANYA wa miaka 80 Jumatatu aliwafanya watu kulia ndani ya mahakama moja Karatina, Kaunti ya Nyeri...
- by adminleo
- July 9th, 2019
Wizara mbioni kuchunguza dhuluma Nairobi School
NA MARY WANGARI Kisa kuhusu mwanafunzi wa shule ya upili ya Nairobi School aliyedhulumiwa na viranja kiasi cha kufanyiwa upasuaji wa...
- by adminleo
- June 5th, 2019
Mbunge kituoni baada ya kuzaba mkazi makofi
NA MWANDISHI WETU MBUNGE wa Gem, Elisha Odhiambo ameandikisha taarifa kwa polisi kufuatia kisa ambapo alidaiwa kumshambulia mwanamume...
- by adminleo
- April 4th, 2019
Finland kusaidia Kilifi kukomesha dhuluma
CHARLES LWANGA na KALUME KAZUNGU GAVANA wa Kaunti ya Kilifi Amason Kingi, atashirikiana na serikali ya Finland kutatua dhuluma za...
- by adminleo
- March 26th, 2019
Wasamaria kutoka kuzimu
Na VALENTINE OBARA TABIA ya wahisani kutoka ng'ambo kuwadhulumu watoto mayatima na wanaotoka familia maskini, imefikia upeo mpya baada...
- by adminleo
- January 14th, 2019
Polisi lawamani kwa kumcharaza na kumjeruhi mwanamke
NA KALUME KAZUNGU MAAFISA wa polisi Kaunti ya Lamu wamemulikwa kwa mara nyingine kufuatia kisa cha kumpiga mwanamke na kumuumiza raia...
- by adminleo
- December 28th, 2018
Wito kituo cha kuokoa wasichana waliodhulumiwa kijengwe
NA KALUME KAZUNGU MASHIRIKA yasiyo ya kiserikali na wanaharakati wa kupigania haki za watoto kaunti ya Lamu wanaitaka serikali na wadau...
- by adminleo
- November 28th, 2018
54%: Polisi waliongoza kwa ubakaji uchaguzi mkuu wa 2017 – KNCHR
Na PETER MBURU MAAFISA wa usalama nchini walikuwa mstari wa mbele kutekeleza unyama wa dhuluma za kingono wakati na baada ya uchaguzi mkuu...