• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 4:07 PM

#GoogleWalkOut: Wafanyakazi wagoma kulalamikia dhuluma za kimapenzi ofisini

MASHIRIKA NA PETER MBURU WAFANYAKAZI wa Google Hong Kong na New York walitekeleza mgomo Alhamisi, wakilalamikia tabia ya unyanyasaji na...

Mwanafunzi wa Shule ya Upili ya Wasichana ya Moi alidhulumiwa kimapenzi – Wabunge

NA CHARLES WASONGA KAMATI ya Bunge imethibitisha kuwa mwanafunzi mmoja alidhulumiwa kimapenzi katika Shule ya Upili ya Wasichana ya Moi,...

Binti aliyekumbatia mwanamuziki ashtakiwa kumdhulumu kimapenzi

Na MASHIRIKA TA’IF, SAUDI ARABIA MSHICHANA anakabiliwa na mashtaka ya dhuluma za kimapenzi baada ya kumkumbatia mwanamuziki wa...

Mtalii ndani miaka 18 kwa kupapasa wasichana kutoka jamii maskini

Na BENSON MATHEKA MTALII raia wa Uingereza aliyetumia pesa kuwadhulumu kimapenzi wasichana wenye umri mdogo akizuru Kenya amefungwa jela...

KRU kuchunguza madai ya dhuluma za kimapenzi dhidi ya msanii

Na CHARLES WASONGA KWA mara ya kwanza Chama cha Raga Nchini (KRU) kimezungumzia madai ya ubakaji yanayowakabili wachezaji wawili wa...

Mamilioni watoroka makazi yao wakihofia kudhulumiwa kimapenzi

Na AFP VISA vya dhuluma za kimapenzi vimeongezeka eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Hali hiyo imesababisha mgogoro...

Polisi huyu amenishtaki kwa kumnyima asali, kidosho aambia mahakama

[caption id="attachment_3262" align="aligncenter" width="800"] Mary Wanjiru Ndung’u akiwa kortini Machi 20, 2018. Picha /RICHARD...

Kibarua kizimbani kwa kuteka nyara msichana na kumpapasa matiti

Na RICHARD MUNGUTI KIBARUA mwenye umri wa miaka 27 alishtakiwa Jumatano kwa kumteka nyara msichana mwenye umri wa miaka 10. Boniface...

FUNGUKA: ‘Amenigeuza ngoma ila nampenda kupindukia’

Na PAULINE ONGAJI Kwa Muhtasari: Huenda binti huyu akavunja rekodi kwa kuongoza orodha ya vipusa walioleweshwa na kupumbazwa na...