Tag: Dondoo
- by adminleo
- May 19th, 2019
Deni lasimamisha harusi ghafla
Na MWANDISHI WETU SOSIET, KERICHO ? Siku iliyotarajiwa kuwa ya furaha tele iligeuka kuwa yenye huzuni nyingi mzee alipositisha harusi...
- by adminleo
- May 15th, 2019
Ageuza chumba danguro, sasa amlaumu jirani
Na DENNIS SINYO SHINYALU,KAKAMEGA KIOJA kilitokea hapa polo alipomkemea vikali jirani yake akimlaumu kwa kutaka kuharibu ndoa...
- by adminleo
- May 12th, 2019
Wakabili pasta kwa kuwaita wenye dhambi
Na LEAH MAKENA NAARI, MERU Pasta wa hapa alijipata mateka alipofungiwa kwenye ofisi yake kwa saa kadhaa kwa kuondoa majina ya waumini...
- by adminleo
- May 6th, 2019
Kipusa taabani kwa kutajataja ‘ex’ wake
Na TOBBIE WEKESA MATAYOS, BUSIA Jamaa mmoja wa hapa alimuonya vikali mpenzi wake kwa kumlinganisha na mchumba wake wa zamani....
- by adminleo
- May 5th, 2019
Mume achomoa upanga mazishi ya mke
NA TITUS OMINDE Kifinko, Kakamega Kulitokea kizaazaa kwenye sherehe ya mazishi kijijini hapa mwanamume aliyefiwa na mkewe alipotoroka...
- by adminleo
- May 5th, 2019
Afumaniwa akigawia ‘mjomba wa ughaibuni’ asali
Na TOBBIE WEKESA UTAWALA, NAIROBI ILIKUWA ni mguu niponye kwa kipusa mmoja eneo hili baada ya kunaswa na mume wake akigawa tunda.?...
- by adminleo
- May 5th, 2019
Amlima mwenzake aliyefichulia mume siri
Na NICHOLAS CHERUIYOT Ainamoi, Kericho MWANADADA wa hapa alimrukia na kumtandika mwenzake akimlaumu kwa kumweleza mumewe kuhusu mkopo...
- by adminleo
- April 30th, 2019
Atupa mke kwa kuchoshwa na wakwe
Na John Musyoki Kiritiri, EMBU JOMBI mmoja kutoka eneo hili aliwashangaza wazazi wake alipoamua kumtaliki mkewe akidai wakwe zake...
- by adminleo
- April 29th, 2019
Pasta akataa harusi ya mpenzi wa zamani
Na Ludovick Mbogholi MOMBASA MJINI Kisanga kilizuka mjini hapa pasta alipokataa kuunganisha wachumba kuwa mume na mke dakika za mwisho...
- by adminleo
- April 23rd, 2019
Natoka na mumeo, kipusa ajigamba
Na MIRRIAM MUTUNGA SOUTH B, NAIROBI SINEMA ya bure ilishuhudiwa kwenye ploti moja mtaani hapa vipusa wawili walipotwangana makonde...
- by adminleo
- April 15th, 2019
Aiba mahindi ya mke apate hela za kubet
Na DENNIS SINYO MBAI FARM, KITALE KALAMENI wa hapa alijipata kona mbaya alipofumaniwa akiiba mahindi ya mkewe ili ayauze apate pesa...
- by adminleo
- April 7th, 2019
Jombi azomewa kwa kuoa ajuza
NA JOHN MUSYOKI MATENDENI, EMBU JAMAA mmoja kutoka hapa alijipata pabaya alipofokewa na mama yake kwa kuoa mwanadada mzee...