Tag: dpp
- by adminleo
- December 10th, 2018
DPP aapa kukabiliana na visa vya kutoweka kwa raia
Na CHARLES WANYORO MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Nordin Haji ameelezea masikitiko yake kuhusiana na ongezeko la visa vya watu...
- by adminleo
- November 21st, 2018
DPP aishangaa mahakama kumwachilia huru Obado
Na PETER MBURU KIONGOZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji ameeleza kughadhabishwa kwake na namna mahakama za humu nchini zimekuwa...
- by adminleo
- October 18th, 2018
DPP ataka kesi ya Wachina 2 kuhusu ulanguzi wa watoto ifutwe
Na Brian Ocharo MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma Noordin Haji ametaka kesi ambapo raia wa Uchina na Wakenya wawili wameshtakiwa kuhusu...
- by adminleo
- September 10th, 2018
MAUAJI YA SHARON: DPP tayari kunasa Gavana Obado
NA WAANDISHI WETU MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP), Noordin Haji Jumapili alisema yuko tayari kumkamata Gavana wa Migori, Okoth...
- by adminleo
- August 8th, 2018
NYS: Agizo DPP atenganishe kesi kumi mara tatu
Na Richard Munguti MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Bw Noordin Haji Jumanne aliamriwa atenganishe mara tatu kesi kumi za kashfa ya...
- by adminleo
- June 15th, 2018
Benki zilizofanikisha ufisadi NYS kuona cha moto
Na CHARLES WASONGA MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji amesema benki ambazo zilitumika kufanikisha wizi wa pesa za umma...
- by adminleo
- May 29th, 2018
SAKATA YA NYS: Uhuru ategemea DCI, DPP kuliko tume ya EACC
Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta ameonekana kubadilisha mbinu za kupigana na ufisadi huku akihusisha Idara ya Upelelezi wa Jinai...
- by adminleo
- May 21st, 2018
DPP aahidi kunasa wafisadi wa vyeo vya juu serikalini
Na BENSON MATHEKA Mkurugenzi mpya wa Mashtaka ya Umma (DPP) Bw Noordin Haji ameahidi kuleta mwamko mpya katika vita dhidi ya ufisadi kwa...
- by adminleo
- May 11th, 2018
DPP amtaka Boinnet ampe ripoti ya uchunguzi wa mkasa wa Solai kwa siku 14
Na ERIC MATARA Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Ijumaa alitaka uchunguzi ufanywe kubaini kiini cha mkasa wa bwawa la Patel eneo la...
- by adminleo
- February 25th, 2018
Ukosefu wa DPP sasa wakwamiza maamuzi mahakamani
Na RICHARD MUNGUTI KUTOKUWEPO kwa Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) kumeacha afisi hiyo kama yatima na idara ya Mahakama katika...