• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 12:38 PM

Ghana kuwapiga faini wanaosafiri huko bila vyeti

Na MASHIRIKA ACCRA, GHANA GHANA imesema itayapiga mashirika ya ndege faini ya Sh350,000 kwa kila abiria anayeingia nchini humo bila...

DHULUMA ZA KIMAPENZI: Serikali yaitia adabu Homeboyz Radio

Na MARY WANGARI MAMLAKA ya Mawasiliano ya Kenya (CAK) imechukua hatua za kinidhamu dhidi ya kampuni inayomiliki kituo cha Homeboyz Radio...

Mjeledi wa FIFA wachapa, mataifa yatozwa mamilioni

Na MASHIRIKA SHIRIKISHO la Soka Duniani (FIFA) limetoza mashirikisho ya soka ya Hong Kong, Indonesia, Sierra Leone na Sudan jumla ya...

FIFA yaangushia Chelsea, FA viboko kuhusu usajili wa ‘watoto’

Na GEOFFREY ANENE SHIRIKISHO la Soka Duniani (Fifa) limepiga klabu ya Chelsea marufuku kununua wachezaji katika vipindi viwili vijavyo vya...

MAKALA MAALUM: Faini waliyopigwa Wamijikenda waliochepuka kwa ndoa ilivyogeuka kitega uchumi

Na CHARLES ONGADI NDOA ni makubaliano rasmi ya mwanamke na mwanamume kuishi pamoja kama mume na mke kulingana na sheria, mila au desturi...

Faini za kushindwa kutetea kesi za uchaguzi kortini zatisha wengi

[caption id="attachment_1315" align="aligncenter" width="800"] Bi Wavinya Ndeti aliyewasilisha kesi mahakamani kupinga ushindi wa Gavana wa...