Tag: fedha
- by adminleo
- March 20th, 2018
Kenya ina uwezo wa kulipa madeni yake – Wizara ya Fedha
Na CECIL ODONGO WIZARA ya Fedha imekariri- kuwa nchi ina uwezo wa kulipa deni lake lote, na kuwa kuna mwanya mkubwa unaoruhusu serikali...
- by adminleo
- March 19th, 2018
KeMU kuuza jengo lake ili kujiimarisha kifedha
Na OUMA WANZALA CHUO Kikuu cha Kenya Methodist (KeMU) kimetangaza hatua ya kuuza mojawapo ya majengo yake jijini Nairobi, katika mkakati...
- by adminleo
- March 8th, 2018
Mabilionea nchini waongezeka licha ya serikali kulia haina hela
Na VALENTINE OBARA IDADI ya mabilionea nchini iliongezeka mwaka 2017 licha ya serikali, wafanyabiashara na wananchi wengi kuzidi...
- by adminleo
- March 8th, 2018
TAHARIRI: Serikali kupungukiwa na hela ni hatari kuu
Na MHARIRI MATAMSHI ya Waziri wa Fedha, Bw Henry Rotich kwamba serikali haina fedha Za kutosha kugharimia miradi yake hapa nchini ni...
- by adminleo
- March 8th, 2018
Hakuna pesa serikalini, Rotich aungama
DAVID MWERE na VALENTINE OBARA Kwa ufupi: Rotich asema uhaba wa fedha unaokumba serikali umesababishwa na kipindi kirefu cha...