Tag: feri
- by adminleo
- February 13th, 2020
Shida kivukoni kufuatia feri 2 kuondolewa
Na MOHAMED AHMED MAELFU ya watumizi wa feri katika kivuko cha Likoni wanatarajiwa kupambana na msongamano mkubwa kufuatia kuondolewa kwa...
- by adminleo
- January 2nd, 2020
Feri iliyosababisha kifo cha mwanamke na mwanawe kutohudumu
Na MOHAMED AHMED na MISHI GONGO HATIMAYE shirika la huduma za feri nchini (KFS) limeondoa MV Harambee kuhudumu katika kivuko cha...
- by adminleo
- November 30th, 2019
Msongamano Likoni feri 3 zikiondolewa
Na MOHAMED AHMED MAELFU ya watu wanaotumia kivuko cha Likoni watakuwa na wakati mgumu kusafiri hasa msimu huu wa likizo ya Krismasi...
- by adminleo
- November 25th, 2019
Afa kwa kujirusha baharini toka ferini
Na Mohamed Ahmed MWANAMUME mmoja alifariki Jumapili baada ya kujirusha kutoka kwenye feri katika kivuko cha Likoni. Jamaa huyo...
- by adminleo
- November 6th, 2019
Serikali kutenga Sh1.1 bilioni zaidi kwa ukarabati wa feri
Na CHARLES WASONGA SERIKALI inapanga kutenga Sh1.1 bilioni zaidi katika mwaka huu wa kifedha kugharimia ukarabati wa feri ambazo...
- by adminleo
- October 30th, 2019
TAHARIRI: Mabadiliko makubwa yafanywe katika KFS
Na MHARIRI RIPOTI kuhusu uozo unaosakama shirika la huduma za feri nchini (KFS) ni za kuhuzunisha na hatua za haraka zinapaswa...
- by adminleo
- October 29th, 2019
Hofu feri ikitoboka chini
Na MWANDISHI WETU FERI iliyosababisha kuzama kwa gari na kufariki kwa mwanamke na bintiye wiki chache zilizopita, mnamo Jumapili...
- by adminleo
- October 22nd, 2019
Hofu mabadiliko yakitarajiwa KFS
Na WINNIE ATIENO WASIWASI umewakumba wasimamizi wa Shirika la Huduma za Feri (KFS) nchini, huku serikali ikipanga kufanya mageuzi katika...
- by adminleo
- October 14th, 2019
KURUNZI YA PWANI: Uchunguzi kubaini gari lilivyozama Likoni waanza
Na MOHAMED AHMED MAAFISA wa upelelezi wanajaribu kutegua kitendawili kuhusiana na ajali ya gari lililotumbukia katika Bahari Hindi...
- by adminleo
- October 6th, 2019
Feri: Wazee, familia watofautiana kuhusu tambiko
Na MISHI GONGO KULIKUWA na hali ya vuta nikuvute baina ya familia ya mwanamke aliyetumbukia baharini Miriam Kighenda na wazee Wadigo...
- by adminleo
- October 3rd, 2019
Familia yaendelea kusubiri, hali ya hewa ikilemaza uopoaji
MISHI GONGO na HAMISI NGOWA HALI mbaya ya hewa ililemaza shughuli ya uopoaji inayoendelea katika kivuko cha Likoni mjini Mombasa...
- by adminleo
- October 3rd, 2019
Mkasa wa Likoni: Serikali yaomba Wakenya msamaha
Na CHARLES WASONGA SERIKALI kupitia Wizara ya Uchukuzi imewaomba Wakenya msamaha kwa kuchelewa kuanzisha shughuli za kuokoa mama na...