Tag: Githurai
- by T L
- October 31st, 2021
Wafanyabiashara na wachuuzi Githurai walia kudhalilishwa na wahudumu wa tuktuk
Na SAMMY WAWERU WAFANYABIASHARA na wachuuzi katika soko la Jubilee, mtaani Githurai, kiungani mwa jiji la Nairobi wamelalamikia...
Afueni kwa wakazi Githurai 45 barabara zikiendelea kuboreshwa
Na SAMMY WAWERU KWA muda mrefu miundo misingi kama vile barabara katika mtaa wa Githurai 45 viungani mwa jiji la Nairobi imekuwa kikwazo...
Madereva wa tuktuk Githurai waonyesha umoja kuboresha kazi kwa kuchagua mwakilishi wao
Na SAMMY WAWERU MADEREVA wa muungano wa wahudumu wa tuktuk na magari madogo aina ya maruti eneo la Githurai 45 (GTMA) wamefanya uchaguzi...
Raila atarajiwa Githurai kupigia debe BBI
Na SAMMY WAWERU KIONGOZI wa chama cha ODM, Raila Odinga anatarajiwa kuingia Githurai wakati wowote kuanzia sasa leo Jumatano kupigia...
Moto wateketeza mali ya thamani kubwa Githurai
Na SAMMY WAWERU WAFANYABIASHARA wa vifaa vya mbao Githurai wanakadiria hasara kubwa baada ya moto kuteketeza mali yao Ijumaa. Chanzo...
- by adminleo
- May 21st, 2020
Aporwa mchana peupe mara baada ya kushuka kutoka kwa matatu Githurai
Na SAMMY WAWERU VISA vya uhalifu katika mtaa wa Githurai vimeanza kufufuka, wakazi wakilalamikia kuporwa mchana peupe na...
- by adminleo
- April 9th, 2020
Afueni baada ya masoko Githurai kufunguliwa
NA SAMMY WAWERU Wafanyabiashara wa masoko ya Githurai wamepata afueni baada ya kuruhusiwa kuendeleza shughuli zao, wiki mbili baada ya...
- by adminleo
- October 3rd, 2019
Ujenzi wa soko la Githurai waanza
Na SAMMY WAWERU UJENZI wa soko la Githurai maarufu kama Jubilee Market na lililoko eneobunge la Ruiru, Kaunti ya Kiambu,...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Msako mkali wa pombe haramu wafanywa Githurai
Na SAMMY WAWERU MSAKO mkali dhidi ya pombe haramu katika mtaa wa Githurai 44, Kaunti ya Nairobi na Githurai 45 umeanzishwa. Shughuli...