Tag: gor
- by adminleo
- June 25th, 2018
K’Ogalo kusajili staa mmoja tu msimu huu
Na JOHN ASHIHUNDU Kocha wa Gor Mahia, Dylan Kerr amesema klabu hiyo itasajili mchezaji mmoja pekee mwezi huu wa kipindi cha wachezaji...
- by adminleo
- June 7th, 2018
Baada ya kuitia adabu Singida, Gor sasa kumenyana na Simba fainali
Na GEOFFREY ANENE MEDDIE Kagere ameongoza Gor Mahia kutinga fainali yake ya pili mfululizo kwenye Soka ya SportPesa Super Cup baada ya...
- by adminleo
- May 17th, 2018
Mashabiki wa Gor wakejeli washambuliaji kwa kufuma mabao hewa
Na GEOFFREY ANENE MASHABIKI wa Gor Mahia wamelia sana kuhusu ubutu wa washambuliaji wao mbele ya lango baada ya klabu hiyo kukabwa 0-0 na...
- by adminleo
- May 15th, 2018
Gor itapigana kufa kupona dhidi ya USM Alger – Shakava
Na JOHN ASHIHUNDU Nahodha wa Gor Mahia, Harun Shakava amesema kuwa anatarajia mechi ngumu dhidi ya USM Alger, Jumatano. Gor watakabiliana...
- by adminleo
- May 15th, 2018
USM Alger yatua nchini kukabiliana na Gor Confederations Cup
Na GEOFFREY ANENE VIONGOZI wa Kundi D, USM Alger wametua jijini Nairobi tayari kupambana na Gor Mahia katika mechi ya Kombe la...
- by adminleo
- May 13th, 2018
Gor yalemewa na Hull City kwa penalti licha ya Oluoch kupangua tatu
Na GEOFFREY ANENE KIPA Boniface Oluoch alipangua penalti tatu, lakini kazi yake haikutosha kuinasua Gor Mahia kutoka kwa kichapo cha...
- by adminleo
- May 13th, 2018
Gor Mahia vs Hull City: Vikosi vyatajwa
Na GEOFFREY ANENE HULL City kutoka Uingereza imetangaza kikosi kitakachoanza mechi ya kirafiki dhidi ya Gor Mahia uwanjani Kasarani ambapo...
- by adminleo
- May 7th, 2018
Kipa Oluoch aikosesha Gor ushindi ugenini Rwanda
Na JOHN ASHIHUNDU Mashabiki wa Gor Mahia kwa mara nyingine wamefedheheshwa na uchezaji wa kipa Boniface Oluoch ambaye kosa lake...
- by adminleo
- May 1st, 2018
Gor yaibwaga Ingwe kuchuana na Hull City Mei 13
Na GEOFFREY ANENE GOR Mahia imeimarisha rekodi yake ya kutoshindwa na AFC Leopards hadi mechi tano baada ya kuichapa kwa njia ya penalti...
- by adminleo
- April 24th, 2018
Mshindi kati ya Gor na Ingwe kuumiza nyasi dhidi ya Hull City Mei 13
Na CECIL ODONGO KLABU ya Hull City ya Uingereza itapambana na mshindi kati ya wapambe wa ligi Gor Mahia na AFC Leopards katika mechi...
- by adminleo
- April 17th, 2018
Pigo kwa Gor Tuyisenge kukosa stakabadhi za kusafiri Afrika Kusini
Na GEOFFREY ANENE GOR Mahia imepata pigo kubwa kabla ya mechi yake ya marudiano dhidi ya SuperSport United kwenye Kombe la Mashirikisho...
- by adminleo
- April 12th, 2018
Gor Mahia kortini kwa kukataa kuilipa hoteli
Na JOSEPH OPENDA KLABU ya Gor Mahia huenda ikaadhibiwa na mahakama kwa kukataa kulipa deni, baada ya kupokea huduma za hoteli moja mjini...