• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM
Polisi wadumisha usalama karibu na jengo lililobomoka Mombasa

Polisi wadumisha usalama karibu na jengo lililobomoka Mombasa

NA WACHIRA MWANGI

MAAFISA wa polisi leo Jumamosi wanadumisha usalama kando ya jengo lililobomoka karibu na soko la Marikiti katika Kaunti ya Mombasa.

Hakuna aliyejeruhiwa wakati jumba hilo limebomoka kwa sababu wakazi na wafanyabiashara waliondoka mapema baada ya kutahadharishwa na maafisa wa kaunti.

Maafisa walikuwa wameonya kwamba jumba hilo lilikuwa na nyufa hatari, kuashiria lingebomoka wakati wowote.

  • Tags

You can share this post!

STAA WA SPOTI: Miereka: Ndoto ya Nekesa wa Kitale ni kubeba...

Subirini Wi-Fi ya bure yaja katika vituo 25,000 kote nchini...

T L