• Nairobi
  • Last Updated May 20th, 2024 9:16 PM
Mdokezi aendelea kumwaga mtama kuhusu mauaji

Mdokezi aendelea kumwaga mtama kuhusu mauaji

Na RICHARD MUNGUTI

Mdokezi wa polisi anayeshtakiwa kwa mauaji ya wakili Willie Kimani,mteja wake na dereva wa teksi jana alimwaga mtama zaidi jinsi alipewa kitita cha Sh0.2milioni kuwataja wote waliohusika katika mauaji hayo ya kinyama.

Bw Peter Ngugi aliyekamilisha kujitetea jana alifichua jinsi alipewa pesa na polisi na kuahidiwa kuwa shahidi wa serikali katika kesi hiyo.

You can share this post!

Kenya yapigia debe Tong-IL Moo-Do iwepo katika Olimpiki za...

‘Alcoblow’ kurejeshwa barabarani marekebisho ya...

T L