Tag: karua
- by adminleo
- November 17th, 2018
William Ruto hafai kuwa rais – Karua
Na MWANDISHI WETU Kiongozi wa chama cha Narc-Kenya Martha Karua amepuuza azma ya Naibu Rais William Ruto kuwania urais 2022 akisema Bw...
- by adminleo
- October 15th, 2018
Referenda ni nafasi murua kwa wanawake kutetea jinsia – Karua
IRENE MUGO na OSCAR KAKAI KIONGOZI wa chama cha Narc Kenya, Bi Martha Karua, amewataka wanawake kutetea usawa wa jinsia kwenye mageuzi...
- by adminleo
- August 1st, 2018
Kesi ya Karua dhidi ya Waiguru kusikizwa na majaji wapya
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya rufaa Jumanne iliamuru kesi ya kupinga ushindi wa Gavana Anne Waiguru kuwa Gavana wa Kirinyaga isikizwe...
- by adminleo
- June 27th, 2018
Karua bado aamini alimbwaga Waiguru, akata rufaa tena
Na JOSEPH WANGUI KIONGOZI wa chama cha Narc Kenya, Martha Karua, amewasilisha rufaa ya kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu wa kutupilia mbali...
- by adminleo
- June 19th, 2018
Karua atakiwa kushirikiana na Waiguru
Na KNA KIONGOZI wa Narc-Kenya Martha Karua ameraiwa kukubali uamuzi wa mahakama kwamba Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru alichaguliwa...
- by adminleo
- April 24th, 2018
Karua ataka korti iagize upya vifaa vya kura Kirinyaga vikaguliwe
Na JOSEPH WANGUI KIONGOZI wa Chama cha Narc Kenya, Bi Martha Karua, anataka maagizo mapya ya korti kuhusu ukaguzi wa vifaa vya uchaguzi...
- by adminleo
- March 20th, 2018
Waiguru na Karua wabanana mahakamani
Na RICHARD MUNGUTI GAVANA wa Kirinyaga Anne Waiguru ameonekana kuwa na nia ya kutumia njia ya mkato kutetea ushindi wake hata baada ya...
- by adminleo
- March 18th, 2018
JAMVI: Wimbi la ‘minjiminji’ layeyuka kama mvuke huku wakazi wakimkosoa Waiguru
Na WANDERI KAMAU Kwa ufupi: Baadhi ya changamoto zinazomwandama Bi Waiguru zinatokana na tofauti zake na viongozi wengi wa eneo...
- by adminleo
- February 13th, 2018
Jaji ajiondoa katika kesi ya Martha Karua dhidi ya Gavana Anne Waiguru
[caption id="attachment_1375" align="aligncenter" width="800"] Kiongozi wa chama cha Narc Kenya Bi Martha Karua ambaye amewasilisha kesi...