Tag: kibra
- by adminleo
- October 10th, 2019
Uhuru akosa njia Kibra
Na BENSON MATHEKA MGAWANYIKO katika chama cha Jubilee kuhusu uchaguzi mdogo wa eneobunge la Kibra pamoja na handisheki zimemuacha Rais...
- by adminleo
- October 7th, 2019
Tumetumwa na Uhuru kupigia debe ODM Kibra – Kieleweke
Na LEONARD ONYANGO WANASIASA wa Chama cha Jubilee walio katika kundi la Kieleweke wamewataka wakazi wa eneobunge la Kibra kumpigia kura...
- by adminleo
- September 23rd, 2019
Wazee wa Mulembe wamruka Mariga
JOHN ASHIHUNDU na VALENTINE OBARA MGOMBEAJI ubunge kwenye uchaguzi mdogo wa Kibra kwa tikiti ya Chama cha Jubilee, Bw McDonald Mariga...
- by adminleo
- September 22nd, 2019
Uhuru alimtuma Kamanda kwa Raila?
Na NDUNGU GACHANE MAELEZO ya kina yameibuka kuhusu mkutano wa siri kati ya kiongozi wa ODM Raila Odinga na Mbunge Maalum wa Jubilee,...
- by adminleo
- September 19th, 2019
WANGARI: Kibra waheshimu Okoth kwa kuchagua mchapakazi
Na MARY WANGARI SIASA za Kenya huwa zimejaa vituko. Ni vigumu wiki kupita bila kusikia kisanga cha kustaajabisha, kuchekesha na hata...
- by adminleo
- September 18th, 2019
KIBRA: Uhuru asema ‘Mariga tosha’
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Jumatano alikutana na mgombeaji wa chama cha Jubilee katika uchaguzi mdogo wa Kibra McDonald...
- by adminleo
- September 16th, 2019
Sababu ya Mariga kuruhusiwa kujaribu bahati Kibra
NA SAMUEL OWINO KORTI inayoshughulikia mizozo ya uchaguzi Jumatatu ilimruhusu aliyekuwa kiungo matata wa timu ya taifa ya kandanda...
- by adminleo
- September 12th, 2019
Ruto kimya Mariga akihangaika
Na BENSON MATHEKA NAIBU Rais William Ruto jana alizidisha kimya chake huku hatima ya mwaniaji wa Chama cha Jubilee kwenye uchaguzi mdogo...
- by adminleo
- September 10th, 2019
Pigo kwa Jubilee Mariga kufungiwa nje na IEBC
Na LEONARD ONYANGO MGAWANYIKO ndani ya Chama cha Jubilee kuhusu ugombeaji wa ubunge Kibra ulizidi kudhihirika Jumanne wakati wakuu wa...
- by adminleo
- September 9th, 2019
KIBRA: Mwamko mpya ODM
Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM Jumamosi usiku kulimtangaza kakake marehemu Ken Okoth, Benard Imran Okoth, kuwa mpeperushaji bendera...
- by adminleo
- September 4th, 2019
Kutuny, Kamanda na Moses Kuria wapinga uteuzi wa Mariga
Na Samwel Owino UTEUZI wa McDonald Mariga kupeperusha bendera ya chama cha Jubilee katika uchaguzi mdogo wa Kibra unaendelea kukumbwa na...
- by adminleo
- September 1st, 2019
JAMVI: Karata za kikabila zajitokeza Kibra
NA CECIL ODONGO Jamii ya Waluhya yadaiwa inaendeleza mikakati ya kuhakikisha kwamba Benson Musungu anatwaa tiketi ya ODM huku Mwalimu...