• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 1:13 PM

Vifaa butu vyazidi kutemwa huku vipaji vikihifadhiwa KPL

Na CECIL ODONGO HUKU msimu wa kuingia sokoni na kuwanunua au kuwauza wachezaji ukiendelea, klabu za Posta Rangers na Kakamega Homeboyz...

Ushindi kwa Nzoia, Nakumatt, Sofapaka, Thika na Sharks KPL

Na GEOFFREY ANENE NZOIA Sugar imeangamiza Wazito kwa mabao 3-0 katika mechi ya Ligi Kuu ya Soka ya Kenya uwanjani Camp Toyoyo jijini...

FKF: Hatutaongezea KPL kandarasi ya kuendesha ligi 2020

Na GEOFFREY ANENE SHIRIKISHO la Soka la Kenya (FKF) halitaongeza kandarasi ya kampuni inayoendesha Ligi Kuu ya Kenya, KPL, itakapotamatika...

Kitambi atajwa kocha bora wa mwezi KPL

Na JOHN ASHIHUNDU Kocha wa AFC Leopards anayeondoka, Dennis Kitambi ametawazwa Kocha Bora wa Mwezi Aprili KPL. Katika uteuzi huo...

Wazito wageuzwa wepesi na Gor

Na CHRIS ADUNGO FOWADI Jacques Tuyisenge aliwafungia Gor Mahia bao muhimu lililowachochea kuwabamiza limbukeni Wazito FC 1-0 katika...

Gor kuchuana na Kakamega Homeboyz ‘tarehe nyingine’

Na CHRIS ADUNGO MECHI ya KPL ya Gor Mahia dhidi ya Kakamega Homeboyz imeahirishwa baada ya Gor kuendelea kushiriki katika mashindano ya...

Zoo yajifufua, Sofapaka yazikwa

Na CHRIS ADUNGO TIMU ya Zoo Kericho Jumapili ilipata sababu ya kutabasamu baada ya kumaliza msururu wa kupoteza mechi ilipoizima Posta...

Ingwe yaponea kichapo

Na GEOFFREY ANENE AFC Leopards imetoka nyuma mabao mawili na kulazimisha sare ya 2-2 dhidi ya Nzoia Sugar kwenye Ligi Kuu mjini Mumias,...

Mathare kuchupa juu ya Gor wakiilima Chemelil Sugar

Na GEOFFREY ANENE MATHARE United na Chemelil Sugar zitavaana Ijumaa, huku Ligi Kuu ya Soka ya Kenya ikiendelea baada ya kipindi cha siku...

Wazito FC wamridhisha kocha kwa bidii yao

Na CECIL ODONGO KOCHA wa Klabu ya Wazito FC Francis Ouna amesifu juhudi zinazotiwa na kikosi chake katika kubadilisha mwanzo mbaya...

Ingwe yawapiga Wazito, ila kwa kijasho

Na CECIL ODIONGO KLABU ya AFC Leopards Jumatano imewapa onyo washiriki wengine kwenye ligi kwamba kikosi chao kinahesabiwa miongoni mwa...

Kocha wa Vihiga awatia nari vijana wake kudhidhirisha makali yao ligini

Na CECIL ODONGO NAIBU Kocha wa Klabu ya Vihiga United Francis Xavier amewataka vijana wake kunyanyuka na kupigana kiume ili kupata ushindi...