Tag: kpl
- by adminleo
- June 13th, 2018
Vifaa butu vyazidi kutemwa huku vipaji vikihifadhiwa KPL
Na CECIL ODONGO HUKU msimu wa kuingia sokoni na kuwanunua au kuwauza wachezaji ukiendelea, klabu za Posta Rangers na Kakamega Homeboyz...
- by adminleo
- May 28th, 2018
Ushindi kwa Nzoia, Nakumatt, Sofapaka, Thika na Sharks KPL
Na GEOFFREY ANENE NZOIA Sugar imeangamiza Wazito kwa mabao 3-0 katika mechi ya Ligi Kuu ya Soka ya Kenya uwanjani Camp Toyoyo jijini...
- by adminleo
- May 26th, 2018
FKF: Hatutaongezea KPL kandarasi ya kuendesha ligi 2020
Na GEOFFREY ANENE SHIRIKISHO la Soka la Kenya (FKF) halitaongeza kandarasi ya kampuni inayoendesha Ligi Kuu ya Kenya, KPL, itakapotamatika...
- by adminleo
- May 7th, 2018
Kitambi atajwa kocha bora wa mwezi KPL
Na JOHN ASHIHUNDU Kocha wa AFC Leopards anayeondoka, Dennis Kitambi ametawazwa Kocha Bora wa Mwezi Aprili KPL. Katika uteuzi huo...
- by adminleo
- April 12th, 2018
Wazito wageuzwa wepesi na Gor
Na CHRIS ADUNGO FOWADI Jacques Tuyisenge aliwafungia Gor Mahia bao muhimu lililowachochea kuwabamiza limbukeni Wazito FC 1-0 katika...
- by adminleo
- April 10th, 2018
Gor kuchuana na Kakamega Homeboyz ‘tarehe nyingine’
Na CHRIS ADUNGO MECHI ya KPL ya Gor Mahia dhidi ya Kakamega Homeboyz imeahirishwa baada ya Gor kuendelea kushiriki katika mashindano ya...
- by adminleo
- April 9th, 2018
Zoo yajifufua, Sofapaka yazikwa
Na CHRIS ADUNGO TIMU ya Zoo Kericho Jumapili ilipata sababu ya kutabasamu baada ya kumaliza msururu wa kupoteza mechi ilipoizima Posta...
- by adminleo
- April 8th, 2018
Ingwe yaponea kichapo
Na GEOFFREY ANENE AFC Leopards imetoka nyuma mabao mawili na kulazimisha sare ya 2-2 dhidi ya Nzoia Sugar kwenye Ligi Kuu mjini Mumias,...
- by adminleo
- March 29th, 2018
Mathare kuchupa juu ya Gor wakiilima Chemelil Sugar
Na GEOFFREY ANENE MATHARE United na Chemelil Sugar zitavaana Ijumaa, huku Ligi Kuu ya Soka ya Kenya ikiendelea baada ya kipindi cha siku...
- by adminleo
- March 21st, 2018
Wazito FC wamridhisha kocha kwa bidii yao
Na CECIL ODONGO KOCHA wa Klabu ya Wazito FC Francis Ouna amesifu juhudi zinazotiwa na kikosi chake katika kubadilisha mwanzo mbaya...
- by adminleo
- March 14th, 2018
Ingwe yawapiga Wazito, ila kwa kijasho
Na CECIL ODIONGO KLABU ya AFC Leopards Jumatano imewapa onyo washiriki wengine kwenye ligi kwamba kikosi chao kinahesabiwa miongoni mwa...
- by adminleo
- March 14th, 2018
Kocha wa Vihiga awatia nari vijana wake kudhidhirisha makali yao ligini
Na CECIL ODONGO NAIBU Kocha wa Klabu ya Vihiga United Francis Xavier amewataka vijana wake kunyanyuka na kupigana kiume ili kupata ushindi...