• Nairobi
  • Last Updated May 12th, 2024 5:17 PM

Malengo yangu ni kushindia PSG taji la kwanza la UEFA – Messi

Na MASHIRIKA LIONEL Messi amesema kubwa zaidi katika maazimio yake kwa sasa ni kuongoza miamba wa soka ya Ufaransa, Paris Saint-Germain...

Messi sasa mali rasmi ya PSG baada ya kutia saini mkataba wa miaka miwili

Na MASHIRIKA LIONEL Messi amesajiliwa na Paris Saint-Germain (PSG) ya Ufaransa kwa mkataba wa miaka miwili baada ya kuagana na Barcelona...

Utata zaidi kuhusu mustakabali wa Messi kitaaluma Barcelona ikienda kortini kuzuia uhamisho wake hadi PSG

Na MASHIRIKA MPANGO wa Lionel Messi kuingia katika sajili rasmi ya Paris Saint-Germain (PSG) umekumbwa na utata zaidi baada ya mawakili...

Lionel Messi akubali kusalia Barcelona kwa mshahara uliopunguzwa kwa asilimia 50

Na MASHIRIKA LIONEL Messi amekubali kusalia Barcelona kwa mkataba mpya wa miaka mitano ila kwa mshahara ambao ni nusu ya ujira aliokuwa...

Barcelona wamtia Messi kwenye orodha ya masogora watakaowachezea muhula ujao wa 2021-22

Na MASHIRIKA LIONEL Messi atasalia kuwa mchezaji wa Barcelona baada ya kikosi hicho kumtia katika orodha ya wachezaji ambao wamesajiliwa...

Argentina wakung’uta Brazil na kutwaa taji la Copa America

Na MASHIRIKA SUBIRA ya Lionel Messi kutia kapuni taji la kwanza katika soka ya kimataifa hatimaye ilimvutia heri Jumamosi usiku Argentina...

Messi aongoza Argentina kucharaza Ecuador na kuingia nusu-fainali za Copa America

Na MASHIRIKA NYOTA Lionel Messi alifunga bao kupitia mpira wa ikabu na kuchangia magoli mawili mengine katika ushindi wa 3-0...

Lionel Messi sasa ni mchezaji huru baada ya mkataba wake na Barcelona kutamatika rasmi

Na MASHIRIKA LIONEL Messi ambaye ni miongoni mwa wanasoka bora zaidi duniani, sasa hana klabu na ni mchezaji huru baada ya mkataba wake...

Lionel Messi avunja rekodi na kuweka historia akichezea Argentina kwenye Copa America

Na MASHIRIKA NYOTA Lionel Messi aliweka rekodi ya kuwa mchezaji ambaye sasa amewajibishwa na Argentina katika idadi kubwa zaidi ya...

Yafichuka Messi ana mipango ya kuyoyomea Amerika baada ya Kombe la Dunia 2022 kisha kurejea Barcelona kuwa kocha

Na MASHIRIKA BARCELONA wameimarisha juhudi za kushawishi nyota Lionel Messi kutia saini mkataba mpya kabla ya kandarasi yake ya sasa...

Argentina na Chile waambulia sare ya 1-1 kwenye Copa America

Na MASHIRIKA LIONEL Messi alifunga bao kupitia mpira wa ikabu na kusaidia Argentina kusajili sare ya 1-1 dhidi ya majirani zao Chile...

Barcelona wampa Messi mkataba mpya wa miaka miwili

Na MASHIRIKA MATUMAINI ya Manchester City na Paris Saint-Germain (PSG) kujitwalia huduma za nyota Lionel Messi yanazidi kudidimia baada...