Tag: Malezi Kidijitali
- by T L
- October 23rd, 2022
MALEZI KIDIJITALI: Teknolojia inajenga na kuumbua familia vilevile
TEKNOLOJIA inatawala kila sehemu ya maisha katika karne hii na wazazi wasiokubali au kujiandaa wanaweza kuathiri malezi ya watoto wao na...
- by T L
- September 4th, 2022
MALEZI KIDIJITALI: Kumkinga na hatari ibuka za mtandao
NA BENSON MATHEKA USISUBIRI hadi mtoto wako atumbukie kwenye hatari mtandaoni ndipo umfunze jinsi ya kujikinga. Wazazi wanaofanya...
- by T L
- August 7th, 2022
MALEZI KIDIJITALI: Daima kinga yashinda tiba!
NA BENSON MATHEKA JUKUMU kubwa la mzazi enzi hizi za dijitali ni kudhibiti matumizi ya vifaabebe vya watoto wake. Wataalamu wa malezi...
- by T L
- March 13th, 2022
MALEZI KIDIJITALI: Kuwakinga wasichana matineja mtandaoni
MTANDAO unaweza kusababishia wasichana matineja mfadhaiko na wasiwasi sawa na watoto wa umri mdogo pamoja na kuwatumbukiza kwenye hatari...
- by T L
- February 6th, 2022
MALEZI KIDIJITALI: Mwongoze kwa vitendo kutumia mitandao
VITENDO vya wazazi ni muhimu kwa kujenga hisia na tabia za watoto wao kuhusu teknolojia. Watoto huwa wanaiga jinsi wazazi wanavyotumia...
- by T L
- January 16th, 2022
MALEZI KIDIJITALI: Mbinu za kudhibiti vifaabebe
MATUMIZI ya mitandao ya kijamii yanaongezeka na madhara yake kwa watoto yanaendelea kubainika. Hata hivyo watalaamu wa malezi dijitali...
- by T L
- December 19th, 2021
MALEZI KIDIJITALI: Muda kwa mitandao usipite saa 1 kwa siku
Na PAULINE ONGAJI WAZAZI wengi wamekuwa wakiachilia watoto wao kutazama runinga, kudurusu mtandao, kucheza michezo ya video au kutumia...
- by T L
- December 5th, 2021
MALEZI KIDIJITALI: Wazazi wawe mfano mzuri wa vifaabebe!
Na BENSON MATHEKA ENZI hizi ambazo mawasiliano yamerahisishwa kwa sababu ya upatikanaji wa simu za mikono, wazazi wanafaa kuwa makini...
- by T L
- November 21st, 2021
MALEZI KIDIJITALI: Je, kuwapa watoto uhuru ni kuwaharibu?
Na BENSON MATHEKA KASUNI na mkewe Ivy wamelaumiwa na wazazi wenzao kwa kuwapa watoto wao wawili uhuru wa kufanya watakalo. Baadhi...