• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 5:50 AM

MACHO KWAO: Manchester City waanza safari ya kutetea taji la EPL dhidi ya West Ham

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza MANCHESTER City inatarajiwa kuanza kuonyesha meno yake makali mapema itakapoanza kampeni yake ya...

Ipo siku Manchester City itatwaa kombe la Uefa, Guardiola asisitiza

Na MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza KOCHA Pep Guardiola wa Manchester City amesema baada ya kushinda mataji mawili mfululizo ya ligi...

JICHO KWA FA: Guardiola awataka Manchester City walinyanyue pia Kombe la FA

Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA BAADA ya kuwaongoza wachezaji wake kunyanyua ubingwa wa taji la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) wikendi jana,...

Arsenal sasa macho yote kwa Europa League

Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA ARSENAL wamehimizwa na kocha wao Unai Emery kuelekeza macho na makini yote kwa kampeni za Ligi ya Uropa...

TAJI LANUKIA: Manchester City sasa wanusa taji

Na MASHIRIKA MANCHESTER, UINGEREZA MANCHESTER City walidumisha matumaini yao ya kuhifadhi ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) na kutia...

Manchester City wasuka njama kuzamisha Spurs

Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA TOTTENHAM Hotspur leo Jumatano usiku watazuru uwanjani Etihad kukabiliana na Manchester City katika mechi...

Manchester City juu ya EPL, Spurs na Blues wapaa

Na MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza WENYEJI Manchester City, Tottenham Hotspur na Chelsea walitumia ardhi yao vyema kutia kapuni alama...

Schalke 04 yaikaribisha Manchester City

BERLIN, Ujerumani MANCHESTER City watazuru jijini Gelsenkirchen leo Jumatano usiku kupambana na wenyeji Schalke 04 katika mechi ya duru...