Tag: Manchester City
- by adminleo
- July 13th, 2020
Manchester City yapewa idhini ya kuvaana na Real Madrid uwanjani Etihad
Na CHRIS ADUNGO MCHUANO wa mkondo wa pili wa hatua ya 16-bora ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) kati ya Manchester City ya Uingereza na Real...
- by adminleo
- June 23rd, 2020
Manchester City waponda Burnley na kuchelewesha zaidi sherehe ya Liverpool
Na MASHIRIKA PHIL Foden na Riyad Mahrez walifunga mabao mawili kila mmoja na kuchangia ushindi mnono wa 5-0 uliosajiliwa na Manchester...
- by adminleo
- May 20th, 2020
Kesi ya rufaa ya Manchester City dhidi ya marufuku ya Uefa kuanza Juni 8
NA CHRIS ADUNGO KESI ya rufaa ya Manchester City dhidi ya marufuku kusalia nje ya kivumbi cha Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) kwa kipindi cha...
- by adminleo
- March 26th, 2020
CORONA: Pep Guardiola afanya hisani
Na MASHIRIKA BARCELONA, UHISPANIA KOCHA Pep Guardiola wa Manchester City ametoa msaada wa Sh129 milioni ili kusadia waathiriwa wa...
- by adminleo
- January 3rd, 2020
Pep awamiminia sifa tele vijana wake
Na MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza KOCHA Pep Guardiola alivulia kofia vijana wake wa Manchester City kwa kuonyesha ujasiri mkubwa,...
- by adminleo
- December 3rd, 2019
MAN-CITY KINANUKA: City kupelekea Burnley hasira
Na MASHIRIKA MANCHESTER, UINGEREZA MANCHESTER City watakuwa leo Jumanne wageni wa Burnley katika mchuano wa Ligi Kuu ya Uingereza...
- by adminleo
- November 12th, 2019
HAWASHIKIKI! Manchester City kama vile wameanza kukata tamaa
Na MASHIRIKA MERSEYSIDE, UINGEREZA KOCHA Pep Guardiola amesema hana uhakika iwapo kikosi chake cha Manchester City kitaweza kuziba...
- by adminleo
- October 31st, 2019
Manchester City ndani ya robo-fainali Carabao Cup
Na MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza MABINGWA watetezi, Manchester City wamefuzu kwa robo-fainali ya Carabao Cup baada ya kuinyuka...
- by adminleo
- October 24th, 2019
CITY NOMA: Manchester City yaipiga Atalanta 5-1
Na MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza STRAIKA Raheem Sterling alifunga mabao matatu kwa mara ya kwanza katika michuano ya Klabu Bingwa...
- by adminleo
- October 7th, 2019
ADUNGO: Tusidanganyane, ligi kuu msimu huu ni ya farasi 2; Liverpool na Manchester City
Na CHRIS ADUNGO MANCHESTER City walifanikiwa kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu uliopita. Masogora hawa wa kocha...
- by adminleo
- September 20th, 2019
NYOTA PEKEE: Manchester City yafuta aibu ya Uingereza
Na MASHIRIKA HARKIV, Ukraine MANCHESTER City iliondolea timu za Uingereza aibu ya kuanza michuano ya Klabu Bingwa Ulaya vibaya baada...
- by adminleo
- August 15th, 2019
MAN CITY YAPONEA: Timu kuendelea kusajili wachezaji
Na MASHIRIKA MANCHESTER City wameponea kupigwa marufuku ya usajili wachezaji baada ya kukubali walivunja sheria za kusaini wachezaji...